Mkeo akikubambikia mtoto ambae si wako utachukua uamuzi gani?

Mpumbavu mkubwa wewe hiyo nakala sio ya leo ni ya zaidi ya miaka 5 ilizunguka sana katika social media.
Hivi mnatuchuliaje members wa jf mnatuletea habari za uongo uongo tu,ubambikiwe mtoto mwenye umri wa miaka 10 unatoa wapi nguvu ya kuleta thread humu???
Mtu wakaribu amlambe makofi huyu mjinga niliichukulia habari ya kweli
 
Nakupa pole. ila, kwani hauna watoto wengine? kama wapo wengine, basi achana na huyo, concentrate na watoto wa damu yako. ukifanya mchezo, mtoto tu huyo anaweza kukupeleka jela au ukanyongwa kwa mauaji. maisha mengine yaendelee.
 
NAKUSHAURI KILA SIKU JIONI UWE UNANOA PANGA NA KULIWEKA UVUNGU WA KITANDA (UTANISHUKURU).

Usimfanye kitu chochote huyo mtoto wala mama yake.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Humu nasoma comments tu maana ningekuwa mimi akili zangu tungekuwa tunaongea mengine hapa!
 
Sikiliza mkuu, toka enzi na enzi wazee wetu walikuwa wanalea watoto wasio wao, na walikuwa wanajua kabisa huyu famu yangu, huyu si damu yangu.

Kiutaratibu ni kwamba watoto wote watakaozaliwa ndani ya ndoa ni wako no matter what. Hata mke akikimbia kwako, akienda kuzaa huko aliko wazee wetu walikuwa wanaenda kuwabeba hao watoto. Yani as long as umemlipia mahari basi watoto wote atakaozaa ni wako..

Shida ya kizazi cha sasa hatujui wazee wetu waliishi vipi enzi hizo mpaka wakaweza ku maintain social order. Sisi tunahisi haya mambo ni mapya, lakini yapo enzi na enzi.

Huyo mtoto wako na ataendelea kuwa wako no matter what, mkeo kuropoka ni jambo moja na mtoto kutokuwa wako ni jambo jingine kabisaaa, tena ameshakuwa mkubwa 10yrs?

Wewe relax, endelea na maisha yako, mwanaume hupaswi kuwa na stress na vitu vidogo kama hivi, huo ndiyo uanaume mkuu..
Kuna watu mna roho ya chuma aisee!!!
 
huyu mtoto ana miaka 10 hamjui baba mwingine zaidi yangu nanilikua najua ni mwanangu na nikawa na ringa naye sana ila mwisho wa siku mama yake alijiroposha siyo wangu nikasema sitaki kuchezewa akili acha nikapime DNA nijue moja.

je utachukua uamuzi gani kama mwanaume yakikukuta majibu kama haya haya .


View attachment 2853947
Lea mtoto
 
Mpumbavu mkubwa wewe hiyo nakala sio ya leo ni ya zaidi ya miaka 5 ilizunguka sana katika social media.
Hivi mnatuchuliaje members wa jf mnatuletea habari za uongo uongo tu,ubambikiwe mtoto mwenye umri wa miaka 10 unatoa wapi nguvu ya kuleta thread humu???
😁😁😁😁😁
 
Sikiliza mkuu, toka enzi na enzi wazee wetu walikuwa wanalea watoto wasio wao, na walikuwa wanajua kabisa huyu famu yangu, huyu si damu yangu.

Kiutaratibu ni kwamba watoto wote watakaozaliwa ndani ya ndoa ni wako no matter what. Hata mke akikimbia kwako, akienda kuzaa huko aliko wazee wetu walikuwa wanaenda kuwabeba hao watoto. Yani as long as umemlipia mahari basi watoto wote atakaozaa ni wako..

Shida ya kizazi cha sasa hatujui wazee wetu waliishi vipi enzi hizo mpaka wakaweza ku maintain social order✅. Sisi tunahisi haya mambo ni mapya, lakini yapo enzi na enzi.

Huyo mtoto wako na ataendelea kuwa wako no matter what, mkeo kuropoka ni jambo moja na mtoto kutokuwa wako ni jambo jingine kabisaaa, tena ameshakuwa mkubwa 10yrs?

Wewe relax, endelea na maisha yako, mwanaume hupaswi kuwa na stress na vitu vidogo kama hivi, huo ndiyo uanaume mkuu..
Upuuzi
 
Mke akizaa nje nawe kazae nje ulete ndani.
Mtu akila mkeo nawe kula wake kwa pesa au uchawi Kisha fanya hima ajue umekula wake huo ndio uanaume.
Kumwaga damu ya MTU ni ujinga.
Wanwwake wenye akili ni wachache.
 
Uishi na malaika tegemea chochote.
Mtoto wa nje,kukimbiwa,kuachwa,kuchapiwa,kufumania ukijiandaa haya hautouwa mtu Wala kwenda jela.
Jela ingia kwa ufisadi na sio kwa mapenzi.
 
Wanaume wote wakipima tati ya kumi ndo watakuta damu zao.
Wengi tunalea watoto wa watu.
Wengi wanapita pekupeku.
Ni wanawake wachache sana wenye uwezo wa kukwepa mitego ya wanaume.
 
Mimi nakushauri hivi

Chukua hiyo ripoti ihifadhi mahala ambapo haitohatibika.

Kisha achana na huyo mwanamke.

Ila usiondoe mapenzi kwa mtoto tena ikiwezekana zidisha upendo kwa mtoto mfanyie shopping, mtoe out.

Mtoto akiwa mtu mzima katika ule wa kujihusisha na mahusiano kaa naye chini muoneshe hiyo ripoti.

Halafu kama mtoto mwenyewe ni wakiume una muuliza, ungekuwa wewe ungefanyeje?
 
Hakuwa na mimba, nilimchukua mbichi kabisa ndugu yangu.
Kwahiyo Kazaa na mtu mwingine mkiwa kwenye ndoa na akapata ujasiri wa kusema kuwa huyo mtoto sio wako na kweli akawa sio wako kwa mujibu wa mkemia mkuu?
Una Tegemea yeye kiuchumi?
Umezoea sana kuishi nae?
Mnao watoto wangapi!
Ili usitende dhambi ondoka hapo kaanze upya hata Ruaha mbuyuni huko kwenye vitunguu. Kama kasema hivyo huyo kajipanga
 
Back
Top Bottom