Chivundu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2012
- 7,200
- 5,370
We mnunulie simu hizi za 15 mzee!
Utakuwa unaingia hasara kila siku bwashe.
Mimi mke wangu nilikuwa nanunua simu mara ampe mtoto apasue, mara uzembe kadumbukiza kwenye maji. Ikafika sehemu nikamnunulia ka tecno ka 25k mpaka leo anako.
Akajichanga akanunua simu yake kubwa anaitunza balaa. 😁
Usikubali kwamba mkeo sijui kichaa, sijui ana disorder. Wanawake tunaowaoa karibu wote vichaa.
Utakuwa unaingia hasara kila siku bwashe.
Mimi mke wangu nilikuwa nanunua simu mara ampe mtoto apasue, mara uzembe kadumbukiza kwenye maji. Ikafika sehemu nikamnunulia ka tecno ka 25k mpaka leo anako.
Akajichanga akanunua simu yake kubwa anaitunza balaa. 😁
Usikubali kwamba mkeo sijui kichaa, sijui ana disorder. Wanawake tunaowaoa karibu wote vichaa.