jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari za wakati huu wakuu.
Katika pita pita zangu kama mwanaume ambae bado sijaoa , nimejipata matatani kwa bi dada mmoja ambae nimekuja kujua baadae kua mke wa mtu .
Huyu dada kabla sijajua ni mke wa mtu nilimwambia wazo langu la kumuoa awe mke wangu ila alipogundua na maanisha , aliniweka wazi kua yeye ni mke wa mtu na ameolewa na ana watoto wa wili wakubwa tuu ila kimuonekano huwezi mzania kabisa kama ni mke wa mtu na ana familia yake .
Nilipo muuliza kwanini alinificha kua ni mke wa mtu alinambia kua amefanya hivyo kwa sababu ninapo kua nae katika mahusiano yangu na yeye na faragha kiujumla anasahau maomivu na mateso mengi anayo yapata kutoka kwa mumewe, kwani mumewe amekua ni mtu wa kumpiga kila kukicha na kumtukana sana na wakati mwingine amesema mumewe huwa hadi anakataa kumpa haki yake ya ndoa kabisa kabisa hali inayo mfanya ajione hana thamani yeyote .
Mimi kama mwanaume alipo niweka wazi nimemwambia mazoea na yeye sitaki tena ila amekataa katu katu na kuniambia kua hawezi kukaa bila kua na ukaribu na mimi hata ikitokea nimeoa anahitaji faraja kwangu, jambo ambalo nimelikataa kabisa..
Usiku wa kuamkia leo amenitumia message na kuniambia nikiona amekufa nisiache kwenda kumzika maana haoni umuhimu wa kuishi na anajutia sana kuolewa na kuzaa na mwanaume wake..
Kwa upande wangu sijamjibu chochote mpaka sasa hivi ndugu zangu
Nishaurini ni fanyaje hapa wakuu maana hata nikikata nae mawasikiano ni kazi bure maana tunashi majirani sana na mimi kuhama haiwezekani ndugu zangu.
Katika pita pita zangu kama mwanaume ambae bado sijaoa , nimejipata matatani kwa bi dada mmoja ambae nimekuja kujua baadae kua mke wa mtu .
Huyu dada kabla sijajua ni mke wa mtu nilimwambia wazo langu la kumuoa awe mke wangu ila alipogundua na maanisha , aliniweka wazi kua yeye ni mke wa mtu na ameolewa na ana watoto wa wili wakubwa tuu ila kimuonekano huwezi mzania kabisa kama ni mke wa mtu na ana familia yake .
Nilipo muuliza kwanini alinificha kua ni mke wa mtu alinambia kua amefanya hivyo kwa sababu ninapo kua nae katika mahusiano yangu na yeye na faragha kiujumla anasahau maomivu na mateso mengi anayo yapata kutoka kwa mumewe, kwani mumewe amekua ni mtu wa kumpiga kila kukicha na kumtukana sana na wakati mwingine amesema mumewe huwa hadi anakataa kumpa haki yake ya ndoa kabisa kabisa hali inayo mfanya ajione hana thamani yeyote .
Mimi kama mwanaume alipo niweka wazi nimemwambia mazoea na yeye sitaki tena ila amekataa katu katu na kuniambia kua hawezi kukaa bila kua na ukaribu na mimi hata ikitokea nimeoa anahitaji faraja kwangu, jambo ambalo nimelikataa kabisa..
Usiku wa kuamkia leo amenitumia message na kuniambia nikiona amekufa nisiache kwenda kumzika maana haoni umuhimu wa kuishi na anajutia sana kuolewa na kuzaa na mwanaume wake..
Kwa upande wangu sijamjibu chochote mpaka sasa hivi ndugu zangu
Nishaurini ni fanyaje hapa wakuu maana hata nikikata nae mawasikiano ni kazi bure maana tunashi majirani sana na mimi kuhama haiwezekani ndugu zangu.