MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,878
- 6,294
Habari wadau
Kuna kesi nyingi za wanandoa wanaume wanalalamika kwamba bila pesa ama kutimiza matakwa ya wake zao. Wanagomewa kupewa penzi.
Mtu ameoa ana mke ndani ila hana uhakika wa kupata penzi akiwa na hamu nalo. Hii inakuwaje?
Yaani ununue vyakula ndani ila usiwe na uhakika wa kula chakula mpaka umlipie mpishi fee mpya.
Hii ni sawa?
Kuna kesi nyingi za wanandoa wanaume wanalalamika kwamba bila pesa ama kutimiza matakwa ya wake zao. Wanagomewa kupewa penzi.
Mtu ameoa ana mke ndani ila hana uhakika wa kupata penzi akiwa na hamu nalo. Hii inakuwaje?
Yaani ununue vyakula ndani ila usiwe na uhakika wa kula chakula mpaka umlipie mpishi fee mpya.
Hii ni sawa?