Mke atakiwa

muongo huyo dada. miye mbona niko kwenye hiyo range? nakumbuka huyo kakakiiza alikuwa naye anataka mchumba, nadhani alipokosa hapa ndio hasira zikapanda na kuishia hiyo conclusion. nadhani ni wa kufarijiwa zaidi. pole kaka, muombe Mungu atakupa wako, yeye hawekewi deadline. endelea kumtumaini tu siku moja tena usiyotarajia atakukutanisha na your long awaited lifelong partner

Kama uko kenye Range Mpe PM basi
 
Kama uko kenye Range Mpe PM basi

mwanamke anyejiheshimu kiumbe adimu ndugu yangu. hutafutwa, yeye hatafuti, watu huja kwa maelfu ila yeye ndiye hufanya uchaguzi wa mwisho na kauli yake ndiyo hukamlisha ndoa. i am proud to be a woman, haha
 
mwanamke anyejiheshimu kiumbe adimu ndugu yangu. hutafutwa, yeye hatafuti, watu huja kwa maelfu ila yeye ndiye hufanya uchaguzi wa mwisho na kauli yake ndiyo hukamlisha ndoa. i am proud to be a woman, haha


:busu
Judith i like the way you think of yourself. That is what it takes to be a great woman, a woman of faith, a woman that a man can sit by his side and get proud of, a woman with all motherly beatitude (Prov 31). If you are yet married, i believe you gona make a good wife and mother.

Nimefuatilia post zako nyingi, you are so positive about yourself and about others, good attitude and keep on moving.
 
mwanamke anyejiheshimu kiumbe adimu ndugu yangu. hutafutwa, yeye hatafuti, watu huja kwa maelfu ila yeye ndiye hufanya uchaguzi wa mwisho na kauli yake ndiyo hukamlisha ndoa. i am proud to be a woman, haha

Mi nakuonea huruma, we eti uko proud! Namshukuru Mungu sana kwa kuniumba mwanaume!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom