mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,513
- 10,404
Ningeweza kuwabadili wanawake wenzangu ktk hili ningefanya, couse mi sipendi hii kitu na sina moyo wa namna hiyo hata, mine naamni nitakuja kuwa nae ktk shida na raha kama nitakavyoapa pale chachi.
nimesita kukupa like kwa sababu ya hapo,
Nilidhani unasema hayo ukiwa tayari ndoani, kumbe bado upo upo?? aah uijui ndoa wewe, ngoja nikuwache tu