May be Mkapa sio fisadi lakini aliruhusu ufisadi kushamiri chini ya utawala wake. Kitendo hicho peke yake kinamuweka katika kundi hilo.
wana-inji
hujaeleweka mkuu una maana gani?For instance mimi ni baba na ndani ya familia yangu watoto wangu ni malaya wa kutupwa utadiriki kusema mimi kama baba nimechangia umalaya wao kushamiri?