Mkapa aunguruma: Tanzania inahitaji Mijadala ya wazi tena Makini, agusia Katiba iliyokwama

Hayo ndiyo matatizo ya kukurupuka...hujamwelewa MKAPA...yeye hana tatizo na katiba mpya...anachosema former president ni kuwa hakuna 'analysis' kuhusu kwanini katiba mpya ilikwama na namna gani ilikwama...sasa wewe unazungunmzia context nyingine...
Kwa uelewa wako katiba ilijikwamisha yenyewe! Wakati wa White Paper chini ya Tume ya Jaji R. Kisanga 1998 hukusikia Mkapa alivyokataa mapendekezo ya Tume kuhusu katiba mpya na suala la serikali tatu?
 
Kwa uelewa wako katiba ilijikwamisha yenyewe! Wakati wa White Paper chini ya Tume ya Jaji R. Kisanga 1998 hukusikia Mkapa alivyokataa mapendekezo ya Tume kuhusu katiba mpya na suala la serikali tatu?

Duh.....
 
Mkapa hakusema hajui tulikwama wapi katika upatikanaji wa katiba mpya, Yeye alisema hasingependa kutoa maoni yake kwa sababu hakuwa mshauri wa Rais au wa chama chake kuhusu katiba mpya bali aliombwa kutoa maoni yake kama raia wengine wa kawaida. Alitutaka watanzania tufanye analysis...
Asante kwa kunielimisha.
 
Tatizo mwanae ameeenda ROGUE
Its like Michael Corleone kutomsikiliza Vito Corleone

The word is Vito has had enough of Michael na ukaidi wake
You can't trust him,hata mwalimu Nyerere alijilaumu baada ya kumpa Mkapa nchi,utawala wake ulijaa dharau na kebehi tu.
 
Hawa wastaafu wangekuwa na adabu na huruma kidogo kwa wananchi na sometimes bora wakae kimya huku wakiendelea kula kodi zetu kuliko kuja majukwaani na kuongea ouzo ambao miaka yote wamekaa madarakani walikuwa wakijineemesha wao,in fact tunawalipa pesa nyingi mno kuwatunza,I mean they are expensive and useless
 
Mkuu, yaani ni yale yale ya Idd Amini:"There is freedom of speech, but I can not guarantee freedom after speech".
hawa jamaa wanafikiri wanamsaidia Mr. Prezidaa kumbe ndo wanamdestroy kwanini wahawakufanya haya enzi zao?
 
hawa jamaa wanafikiri wanamsaidia Mr. Prezidaa kumbe ndo wanamdestroy kwanini wahawakufanya haya enzi zao?

Wakati wa utawala wa Kikwete, hao hao walishangilia na kumpongeza kwa kila alilolifanya.

Leo hii wamegeuka nyuzi 360, wanamponda kwa kila kitu...
 
Hotuba na majibu yake hakuna mantiki kabisa. Kujiamini na maneno ya vitisho ndiyo staili yake, kutafuta namna ya kunyamazisha watu ili kubakia na wanaomuabudu. hiyo siyo asili ya kiongozi bora. Tunabahati mbaya kidogo kwamba tulipata raisi wa kwanza tuu mwenye busara. Unfortunate, very unfortunate. Inasikitisha mno.
 
Yanapuuzwa sababu wanaongea pumba tupu hawawasaidii wananchi. Wananchi tunamkubali Magufuli sababu anatenda zaidi ya maneno. Mbowe ni mbunge miaka takribani 20 ajachonga ata dawati moja yeye ni kelele tu na kuandamana nchi nzima.
Yalipelekwa Mbowe akayakataa?! Huu upuuzi ndio anaouzungumzia Mkapa...
 
Samahani mimi ni Mtanzania ninayeishi Singapore, huyo Mkapa anayeunguruma ni yule aliyekuwa anajiita Mr Clean?

Wewe..! Kukaa kwako huko Singapore kumekuondolea uwezo wa kuelewa hoja?! Mbona habari inajitosheleza.
By the way, wewe unajua Mkapa wangapi?
 

Anasema kiongozi lazima asikilize. Hii nchi tutaiendeleza sisi wenyewe. Tuache kugombana bila Uchambuzi wa Kina. Ametolea mfano Mkwamo wa katiba, kasema ilitakiwa tuchambue na kutafakari Nini kiliikwamisha na nini kifanyike sio kulaumu tu.

Kasema ukiwa unaongea sana inabidi tutafakari jinsi ya kukudhibiti sababu saa nyingine mtu akiongea sana anakutoa kwenye njia na Malengo.

Asema nchi yetu Tanzania ndiyo yenye magazeti mengi, ingekuwa ndo kipimo basi sisi tumeendelea kweli kweli.

Mkapa amesema yeye ndie aliemuita Agha Khan aje aanzishe magazeti mengine hapa ndiyo yakaja mengine ya Mwananchi na the Citizen.

''Kwa mfano Prof Shivji amezungumzia kuhusu uhusiano wa kibiashara kati ya powerful block na nchi za Afrika, je ni uhusiano gani wa kibiashara utakaokuwepo kati ya wenye nguvu na wasio na nguvu?'' Alisema Mkapa

Amesema tunapenda kuzungumzia watu kuliko sera. Fuatilia michango ya wabunge Vijana Bungeni ambao wengine wanatoka hapa chuo kikuu, wana hoja gani? Wanazungumza nini?

Uhusiano wa kibiashara kati ya kwenye nguvu na wasio na nguvu ni ule uliopo kati ya CCM na UKAWA
 
Kaongea kitu cha msingi sana Mkapa leo. Watu wanaongea sana kuliko vitendo unakuta mbunge kazi yake ni kulalamika tu serikali hivi serikali hivi wakati hana solution yoyote ya matatizo ya wananchi wake... Watu awachambui mambo kazi yao kuongea tu so wakidhibitiwa ni jambo la kizalendo sana maana wanakwamisha maendeleo.
Controls vs Facilitation.
Remember controls do not only prevent bad things from happening, but also good things .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom