babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,244
Rais mstaafu BW Mkapa ametoa kilio chake cha kutaka heshima katika ibada aliyoalikwa mkoani DODOMA.
Akiyasema hayo aligusia ni jinsi gani viongozi wastaafu wasivyopewa heshima stahiki mbele ya jamii.
Wanajamvi hivi ni kweli tumewatupa viongozi wetu wa kitaifa?
Je kwa sasa wanapotumia mafao kutoka kwenye kodi zetu wanafanya au wanashauri taifa vizuri?
Na ni kweli wanatumika kwa chama kimoja yaani ccm kubomoa vyama vingine?
Au kwa kuwa baadhi yao wamechafuka kwa tuhuma za UFISADI ndiyo kunakopelekea wananchi kutowapa heshima?
Je wewe unaonaje hili jambo?
Akiyasema hayo aligusia ni jinsi gani viongozi wastaafu wasivyopewa heshima stahiki mbele ya jamii.
Wanajamvi hivi ni kweli tumewatupa viongozi wetu wa kitaifa?
Je kwa sasa wanapotumia mafao kutoka kwenye kodi zetu wanafanya au wanashauri taifa vizuri?
Na ni kweli wanatumika kwa chama kimoja yaani ccm kubomoa vyama vingine?
Au kwa kuwa baadhi yao wamechafuka kwa tuhuma za UFISADI ndiyo kunakopelekea wananchi kutowapa heshima?
Je wewe unaonaje hili jambo?