Watu wanashindwa ubunge jimboni kwao kwasababu wanashindwa ku deliver, full stop!
Hayo mengine yote ni maneno tu. Mbunge anayejua wajibu wake kwa TZ sio rahisi kabisa
kuangushwa maana anajulikana na pia anakuwa na resources za kutosha.
Mtu kama Mrema hata siku moja asingeliweza kuangushwa ubunge.
Watu wengi wanafikiri ubunge ni kupiga kelele bungeni, sawa kutetea maslahi ya jimbo lako na taifa bungeni ni moja wapo ya majukumu ya mbunge lakini kwa mbunge mchapa kazi hiyo huwakilisha sehemu ndogo sana ya majukumu yake.
Wabunge wanaofanikiwa kwa muda mrefu ni wale ambao wanakuwa na wananchi muda mwingi, wanayaelewa matatizo ya wananchi wao, wanayatatua kila wanapoweza. Sio lazima ujenge barabara za lami lakini at least kule kutatua matatizo yao ya kila siku na kushirikiana nao kujenga jimbo ni jambo kubwa zaidi.
Kundi lingine ni lile la wakaa Dar, ambao wanaenda kwenye majimbo yao kama watalii na kisha utawasikia wakifoka bungeni kama njia ya kufidia muda ambao hawakai kule kwao.
Kimaro kama anataka kuendelea kuwa mbunge asijali akina Mkapa na shemeji zake watasema nini, pamoja na mapambano yake bungeni lakini nguvu kubwa aelekeze kwenye kutatua matatizo ya wananchi wa jimbo lake.
Hayo mengine yote ni maneno tu. Mbunge anayejua wajibu wake kwa TZ sio rahisi kabisa
kuangushwa maana anajulikana na pia anakuwa na resources za kutosha.
Mtu kama Mrema hata siku moja asingeliweza kuangushwa ubunge.
Watu wengi wanafikiri ubunge ni kupiga kelele bungeni, sawa kutetea maslahi ya jimbo lako na taifa bungeni ni moja wapo ya majukumu ya mbunge lakini kwa mbunge mchapa kazi hiyo huwakilisha sehemu ndogo sana ya majukumu yake.
Wabunge wanaofanikiwa kwa muda mrefu ni wale ambao wanakuwa na wananchi muda mwingi, wanayaelewa matatizo ya wananchi wao, wanayatatua kila wanapoweza. Sio lazima ujenge barabara za lami lakini at least kule kutatua matatizo yao ya kila siku na kushirikiana nao kujenga jimbo ni jambo kubwa zaidi.
Kundi lingine ni lile la wakaa Dar, ambao wanaenda kwenye majimbo yao kama watalii na kisha utawasikia wakifoka bungeni kama njia ya kufidia muda ambao hawakai kule kwao.
Kimaro kama anataka kuendelea kuwa mbunge asijali akina Mkapa na shemeji zake watasema nini, pamoja na mapambano yake bungeni lakini nguvu kubwa aelekeze kwenye kutatua matatizo ya wananchi wa jimbo lake.