Mkapa above the law?: Allegations

kwani Mkapa wameshamtolea kinga ya kutomshtaki??hii ndiyo maana hana muda wa kujitetea,na kanuni mpya bunge ndio baso tena,tusahau kabisa mzee mkapa kutiwa nguvuni.

tukomae na hawa mapapa ambao wanaakamatika kwanza!


Mkapa hana kinga kwa mambo aliyoyafanya katika his personal capacity wakati akiwa rais, kinga inahusu tu mambo aliyoyafanya in his professional capacity kama rais, alivyochukua migodi hakuchukua kama rais, aliichukua in his personal capacity kama BWM, kwa hiyo katika hili hana immunity.
 
Mkapa on his ten years as president

2005-07-22 07:20:56
By Gurdian

Government and its parent party CCM are painfully aware that much of the chaos and internecine strife, which prevail in many an African country, including our close neighbours, largely stem from the politics of exclusion. We have absolutely no desire to land our country in such a political and social abyss.

’Political parties, civil society organisations and a free press have an important role in enriching public debate by offering fresh perspectives, alternative to those held in official circles.’’
Mr. Chairman,
Ladies and Gentlemen:
I am not the best ruler, but I should like all the developmental achievements credited to me to be really seen as having been done by the people themselves.

They trusted me, and without them I could not have done half of what I did. To me, democratic governance and participation is the route to empower people to do things themselves, rather than to wait for the government.

Because we had been elected under multipartism, we considered it our solemn duty while in office to consolidate our system of political pluralism and democratic governance.

We value political pluralism not as an end in itself but mainly because we believe that, if appropriately handled, it is capable of serving as an important vehicle for national development.

Political parties, civil society organisations and a free press have an important role in enriching public debate by offering fresh perspectives, alternative to those held in official circles.

Not infrequently, they also provide avenues through which the government is able obtain new information and to gauge public opinion.

These important social institutions can also act as the people’s watchdog, capable of holding the government accountable and deterring it from falling into complacency or degenerating into authoritarianism.

We have not only created an environment in which these three pillars of democracy have sprouted, blossomed and bloomed; we have also provided political space for them to operate freely and act as the citizens’ vehicles for self-activity.

If we have occasionally acted against some of them, it is only because of our desire to drive the point home that democratic freedoms must be enjoyed within the framework of the rule of law. Even if political parties or other social institutions are opposed to a particular law, it is still their duty to obey it.

In this regard, I could not agree more with the eighteenth century English revolutionary Thomas Paine, a passionate supporter of the American and French revolutions. He wrote in 1791, and I quote:

’’If a law be bad, it is one thing to oppose the practice of it, but it is quite a different thing to expose its errors, to reason on its defects, and to show cause why it should be repealed, or why another should be substituted in its place.

’’�It is better to obey a bad law, making use at the same time of every argument to show its errors and procure its repeal, than forcibly to violate it; because the precedent of breaking a bad law might weaken the force, and lead to a discretionary violation, of those which are good.’’

I would say, therefore, that the accusations, which are frequently aired by our detractors that the Government is stifling opposition are patently false and manifestly unfair.

Government and its parent party CCM are painfully aware that much of the chaos and internecine strife, which prevail in many an African country, including our close neighbours, largely stem from the politics of exclusion.

We have absolutely no desire to land our country in such a political and social abyss. Our efforts at political reconciliation, which culminated in the Accord between CCM and CUF in Zanzibar, stem from such a concern.

As part of our endeavour to consolidate democracy, the Government has, over the years, set up institutional frameworks for promoting good governance, protecting human rights and combating corruption.

In its efforts to enhance the delivery of quality public goods and services, my government has been implementing a Public Service Reform Programme, which encompasses the civil service, local government and the parastatal sector.

We are still implementing the Local Government Reform Programme towards the same end. We are anxious to hear the verdict of this conference on the efficacy of such measures and their legacy for posterity.

Whatever your verdict, it may be worth your while to consider an evaluation on governance in Sub-Saharan Africa for the period 1996-2004 done by the World Bank Institute.

The World Bank ranked these countries on the basis of changes in governance on three indicators: Voice and Accountability; Government Effectiveness; and Control of Corruption.

Five countries were found to have significantly improved on Voice and Accountability. These are Ghana, Gambia, Nigeria, Sierra Leone and Tanzania;

Four countries were found to have significantly improved on Government Effectiveness. These are Botswana, South Africa, Democratic Republic of Congo and Tanzania; and
Three countries were found to have significantly improved in Control of Corruption. These are Gabon, Democratic Republic of Congo and Tanzania.

Mr. Chairman,
Ladies and Gentlemen:
As you will see, it is only Tanzania that has significantly improved on all the three indicators of progress in governance in Africa.

We have not solved all problems, but our legacy is one of significant improvement. And I am not blowing my own trumpet, I am only referring to independent evaluations.

I am sure you all know that the most important touchstone on the basis of which governments in office the world over are assessed is the performance of national economies. In this regard, Tanzania is no exception.

My government is fully aware that there are no quick fixes in the struggle against poverty, but over the last 10 years we developed a vision, Vision 2025 - and the political will for a Growth and Poverty Reduction strategy to take the struggle significantly forward.

Any government serious about eradicating poverty must consider three inter-related domains of action. First, it must take macro-level measures to ensure that the economy is on a sound footing.

It is on this basis that my government sought, among other things, to further the economic reforms initiated by the Second Phase Government, embark on an ambitious development of economic infrastructure, promote domestic and foreign investment, improve revenue collection and rehabilitate the co-operative sector.

Secondly, genuine and meaningful economic development is a participatory process in which the combined efforts of the state and citizens as a whole are brought to bear.

In this regard the state is impelled to promote a veritable partnership in which the government, in collaboration with development partners, institutes measures and, where necessary, makes resources available in order to harness the energies and resources of society’s economic agents, whether they be individual workers and farmers, private sector entrepreneurs or civil society organisations.

Last, but by no means least, I believe that the government’s responsibility in poverty eradication ought to go beyond a mere fostering of citizens’ participatory involvement as economic agents.

It must ensure that all and sundry benefit from economic activities and that they are able to enjoy what the Fabian Socialist, Sydney Webb, characterised as a ’civilized minimum’ of social existence.

Equity considerations must therefore come into play. It is in this context that provision of social goods has constituted an important component of our agenda in the Third Phase Government.

I note from the Conference programme that the participants will have occasion to examine our record on healthcare, education, water supply, employment creation and other domains pertaining to social protection.

I advise you to subject to close scrutiny the Poverty Reduction strategy Paper (PRSP) and the recently launched National strategy for Growth and Reduction of Poverty, popularly known as MKUKUTA.
Mr. Chairman,
Our foreign policy is a vast subject which deserves separate treatment in another speech.

I have, therefore, no intention in my present address to present an exhaustive analysis of our international relations.

I only wish to identify three overriding objectives which have featured prominently in our actions in the international arena.

First, we have been anxious to maintain peaceful and harmonious relations with our neighbours and to foster closer co-operation with them in the commercial, cultural and other development related spheres.

This objective udnerlies our unflinching commitment to SADC and the East African Community.

Where peace, harmony and co-operation with our neighbours have been jeopardised by internal conflicts in some of these states, we have worked hard with others to promote reconciliation.

Secondly, we have taken not that globalisation is both a reality and an irreversible process. The issue is whether our country becomes a beneficiary or forever remains a victim of this process.

Weak as we may be as a country, we cannot afford to adopt a defeatist stance because if we did, we would surely perish.

That is why I accepted the invitation to co-chair the World Commission on the Social Dimension of Globalisation and to serve on the Commission for Africa.

It is also from this perspective that I have been agitating, at different international forums, for fairer and more equitable international trading arrangements and arguing a case for global redistributive mechanism that will serve to raise the less fortunate portions of humanity from their social perdition.

The world can only be a safer and more prosperous place if such appeals are taken seriously and acted upon. The war on poverty is a matter of common interest to all nations and peoples.

An equally important objective is to make sure that the international community takes Tanzania seriously as a development partner. The significance of this for our development endeavours cannot be gainsaid.

We have taken such measures as we have deemed appropriate to enhance external resources inflows in order to aid our development efforts by supplementing our internally garnered resources.

We have done this without sacrificing our sovereignty or risking loss of our national dignity.

We have successfully demanded and asserted ownership of the development agenda, process and direction.

It is also part of the legacy of the Third Phase Government that Tanzania is recognised, indeed touted, as an example of best practice in aid effectivess, donor co-ordination and harmonization.

Twice we were invited to major international conferences on development to share our experiences in these areas in Rome in February 2003, and again in Shanghai in May 2004.

I have recently returned from the G8 Summit in Gleneagles where the decision to cancel the multilateral debts of several poor countries, including Tanzania, was reaffirmed.

Without any wish to pre-empt the evaluative work of your conference, I’d suggest that all these developments could be an important statement on our approach. But this is for you to determine.’

SOURCE: Guardian
 
Kwanza, tofauti na sheria za kawaida, ni vigumu sana kubadilisha Katiba.

Pili, Mkapa anaweza asiguswe na hilo badiliko la katiba kwa sababu mara nyingi kuna utamaduni kwamba sheria mpya inaanza kutumika kwa kuangalia mbele kutoka siku ile inapopitishwa (presumption of prospectivity), isipokuwa kama Bunge litasema tutashitaki hata matendo ya nyuma. Sasa, inaweza kupitishwa kwa kuangalia nyuma (retrospective application) lakini ikionekana kama ni sheria ya kumtafuta Mkapa, italeta maswali mengine ya haki zake za kikatiba kwa sababu umem-target yeye mmoja.

Tatu, ni Mkapa ndio ame abuse hicho kipengele cha katiba, lakini kina sababu ya kuwepo. Kuna vitu ambavyo Rais anatakiwa awe na nguvu ya kuvifanya ambavyo wewe na mimi hatustahili. Kwa mfano kuagiza dola itulize machafuko, ikiwemo kupiga watu risasi. Kwa mfano, wapo wanaoamini kwamba mauaji ya Zanzibar yaliagizwa kutoka Ikulu. Iwapo haya ya Zanzibar yalikuwa justified au hapana, ni majadiliano mengine, lakini kuna wakati hizo nguvu ziko justified. Kwa hiyo Rais anatakiwa atende kazi bila kuogopa kushtakiwa.

Hata hivyo, kuna tafsiri ya kile kipengele cha ulizi wa Rais ambayo inaweza kuruhusu Rais asishtakiwe iwapo aliyo yafanya ni mbali kabisa na kazi yake. Kwa mfano, kujiuzia migodi. Inawezekana ikawa vigumu kushinda kwa sababu majaji wataona ina defeat the spirit of the law ( Marais watakuwa wanaogopa hata katika maeneo ambayo ni kazi yao.) Lakini kama kungekuwa na kesi nyingi zinaletwa, labda kuna jaji angekubali angalau kuisikiliza.

Baada ya kesi kama hizo kusikilizwa, hata kama zisingeshinda, kina Mkapa wa siku za mbele wangetiwa jamba jamba na wangetia akili kabla ya kujipa mikopo bila rehani au kujiuzia migodi.
Inapokuja kwenye uuzaji wa nchi na rasilimali zake..NO BODY HAS IMMUNE!..
Na kama katiba hai analyze hivyo then ni wazi kilio cha mabadiliko ya katiba kitakuwepo!
Kwamba Rais ana madaraka ya watu kupigwa risasi..hilo tunalifahamu!What is at stake here is the justification of such orders that leads to such atrocities!Saddam ni mfano halisi..Sheria iliyalinda madhambi yake..lakini imebadilishwa na akashtakiwa!Tusisubiri vurugu na mauaji...!
Wana CCM wenyewe pamoja na mh Rais wana nafsi ya kulisimamia hili suala in a right way inorder to serve justice at the same time to avoid chaos that might cost our country and its people dearly!....MABADILIKO YA KATIBA NI MUHIMU SANA!
Mabadiliko tunayoyahitaji ni uwajibishwaji kwanza then sheria zitakazoweza kuziba hizo nyufa ambazo zinawajengea viongozi mazingira makubwa ya kujilimbikizia mali,udanganyifu,nguvu kubwa za kuvunja haki za binadamu kwa visingizio vya usalama wa taifa,Kutumia nyadhifa zao kwa maslahi binafsi na personal vendetas,kuuza rasimali za nchi bila kuhojiwa huku wakiwa bado wanalindwa na sheria,kuwanyanyasa na kuwanyonya wananchi bila huruma!
Haya ni baadhi tu ya mapungufu makubwa ambayo bunge hai linaweza kuyafanyia marekebisho kwa niaba yetu sis wananchi!
Tangu uundwaji wa PSRC..Pale ndio chimbuko kuu la ufisadi kwasababu maslahi ya taifa na wananchi hayakuzingatiwa wakati wa zoezi kuu la ubinafsishaji!
Ubinafsishaji ukageuka kuwa "UBINAFSISHANIAJI"...ugawanaji wa mali kuu za serikali chini ya sheria huru!Mali za taifa kuwanufaisha viongozi wachache waliogawana mali hizo chini ya sheria huru!
Sheria za kuwabana viongozi ili wawe wawajibikaji ni lazima ziwepo na si kutoa visingizio vya urais vs uraia!
Tatizo letu waafrika hatujui kuwa uongozi ni kazi ngumu na yenye kuhitaji dedication ya hali ya juu!badala yake tunafikiri ni u mungu mtu..bado tabia za ki Mobutu sesse seko hawajaziacha viongozi wetu
MABADILIKO NA UWAJIBIKAJI THIS TIME NI LAZIMA!
 
Huenda kwa sasa physically amechoka kwa umri, sasa subiri huko mbele ya haki ndio utaelewa nani kati ya mkapa na huyu Luhigo atakayekuwa amechoka kwenye kila kiungo cha mwili, maana huko mkapa atapewa mihela yenye moto aibebe kichwani yeye si greedy na mingine aitafune huku ikiwa inawaka moto!

Bravo Mzee Luhigo, wazee hebu mtafuteni mawasiliano yake tuweze kujua anvyoendelea na ikiwezekana kumsaidia kwa chochote maana viongozi kama yeye ni adimu sana Tanzania!
 
Inatakiwa Mkapa akija kwenye hadhara yeyote ni kumutukana tu. au kumakata na kumtandika viboko.
 
Huyu jamaa muongo sana alikuwa akitudanganya kila mwezi kwenye TV kuwa uchumi umekuwa kwa nukta six point 5 hadi seven.
kumbe alikuwa na maana ya Tumbo lake.ni katika marais washenzi tuliopata WaTanzania.
tuandamane na kumchapa viboko.
 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ameliambia Bunge leo asubuhi kuwa serikali inafuatilia kwa karibu taarifa zote zinazohusisha madai ya ufisadi dhidi ya viongozi wa awamu ya tatu.

Amesema iwapo itabainika kuwa kuna viongozi wana kesi za kujibu kuhusiana na matendo yao ya kifisadi, watachukuliwa hatua za kisheria.

Ibainike mara ngapi? MKAPA kaiba na iko wazi na ushaidi upo. kachukua nyumba za serikali na mkewe katumia mfuko wa fursa sawa kuibia mabalozi na NGO za kimataifa. Pinda anataka kuunda tume hata kwa hili lililo wazi?
asipoteze muda na pesa zetu.
 
Kwenye hili tuko ukurasa mmoja!

Tufanye kama kwa Chiluba na Wapinzani hapa ndio pakushika, ushahidi upo wazi hatuhitaji Tume nyingine kujua hili.wameiba nyumba za Ilala maghorofa yote mali ya mama Mkapa, na kama MAMA Kikwete akifanya kama Anna Mkapa basi nchi imekwisha. ina maana kina Kawawa,Nyerere na Ruksa ni wajinga hawakuziona hizi mali?
CUF,Chadema na TLP huu ndio mtaji kama kweli wapinzani au mnaingiza mjini?
 
Luhigo alipatikana na kasha ya kubambikiziwa ya matibabu ya familia yake kama sikosei, aliikosa kazi immediatelly baada ya hii scandal. Manake ilizua joto kwa muda kiasi, kama nakumbuka vizuri.

Kama hukosei?

Alipatikana na scandal akakosa kazi, kama unakumubuka vizuri?

Na kama unakosea, uwachote watu hapa na ki hekaya chako kwa sababu unajua wana JF watasema 'Oooh kumbe hivyo...ahsante kwa kutupa ukweli...basi mtoto wa Keenja anaonewa...'

Unamjua Samson Luhigo we Abunwasi? Uchafue jina la mtu ambae hata huwezi kufunga kamba za viatu vyake, kama hukosei?

Wanasema uhuru wa kuongea una mipaka; Watu kama wewe inabidi muwekewe hatamu midomoni.

Na wakalamba wenzio wanaosema kachoka ni the scam of JF, the hypocrisy of a forum against government malfeasance.

Kama hukosei?
 
Nungwi, sina mbavu. Hicho ki twakwimu cha Mkapa tunakisia kila siku. Hakipungui, hakipandi. Hatuna cha recession, trade deficit, unemployment, inflation, falling TSH, consumer confidence, sagging corporate profits, rising energy costs, national debt...

Yani tuko poa. Si utani ndugu yangu. Asilimia ngapi? 5 nukta ngapi?
 
Kaka huko serious na hili, hivi anaruhusiwa na sheria kuanzisha kampuni ndani ya ikulu, ofisi takatifu ya nchi yetu, hiyo kampuni aliyoanzisha ilifanya biashara gani, kwanini tenda ya kuuza kiwira haikutangazwa, be serious sometimes acha ukada usiokuwa na msingi.



Sina chama wala sina ukada unafikiri watu wote wana chama!Unashindwa kuelewa wazo langu la msingi ,na wewe unaniuliza swali ambalo nimeshasema kwamba alifanya kosa na ni kinyeme na maadili ya uongozi alichofanya.
Ulitakiwa ujibu swali ambalo nimeuliza mimi kwamba unadhani tutafaidika nini na kesi hiyo ikianzishwa kwa sasa zaidi ya kupoteza hela na muda kwa tume na n.k.
Na unajua adhabu yake ni nini kutokana na sheria 1999 iliyoanzisha kosa hilo ?Think big!!!!!!!!!!!!!!!!!Ilikuwa muafaka akiwa madarakani ndio jambo hili lingekuwa lina sound good.
Kuhusu Kiwira Yona kakwambia ana hisa nenda mahakamani ukitaka.Brother Ben Dume la nyani yeye ni kidume kweli kasema siasa basi na hatoi comments zozote kauchuna , kweli anamaanisha alichosema.
Mimi kama shutma zake ndio hizi tu namfakilia katumia hela vema sio kama huyo mkwere JK ambaye katumia milioni 480 hoteli ya Kempinski kwa siku 9 Zanzibar na huyo mwanamke wa kiarabu (NIMEAMBIWA MKEWE PIA-mpya) ati likizo ya raisi damn!kama nilivyo pata nyepesi mkitaka ntaweka hizo shutuma zake za ngono.
 
Hivi kwa nini serikali haioni umuhimu wa kuzipanua bandari za Tanga,Bagamoyo,Lindi na Mtwara?Nchi ngapi katika bara la Afrika pwani ya bahari ya hindi zimepata bahati ya kuwa na ukanda mrefu wa pwani (coastline) kama nchi yetu ya Tanzania?Kwa nini hatutambui kwamba hatuzitendei haki nchi za wenzetu ambazo hazina pwani ya bahari (landlocked countries)kwa kuendelea kutoa huduma duni na zisizoridhisha katika bandari ya Dar es salaam peke yake?Badala ya kupanua zaidi huduma hizo ili bandari zingine ziweze kutoa huduma hiyo mara moja?Naishauri serikali iitishe kikao na nchi wadau wote zitakazo penda kuzitumia bandari za Tanzania kupitishia mizigo yao.Nchi hizo zionyeshwe bandari zote ili wachague wenyewe.Kisha yawepo makubaliano ya pamoja katika kugharamia upanuzi na uboreshaji wa bandari hizo kwa pamoja.Nchi hizo zisitozwe ushuru wowote wa forodha kwa kipindi chote cha kitakacho kubalika lakini kisiwe chini ya miaka ishirini.Katika kipindi chote hicho nchi zote wanachama zitagharamia matengenezo na nguvukazi itakayo hitajika.Kila bandari itakuwa na Mamlaka yake ya Bandari.Hawa TICTS hawatufai na hawatatufikisha mbali.Hii iwe mwanzo na mwisho wa kutoa mikataba mikubwa na nyeti kiasi hicho itakayo wahusisha Mawaziri na viongozi wa ngazi za juu serikalini.Baraza la Mawaziri lisijifanye liko juu ya Bunge!Serikali lazima iwajibike kwa Bunge na siyo vinginevyo.Huu mgawanyo wa madaraka inaelekea kuna watu wanautafsiri vibaya ili kukidhi matakwa yao.Jambo hilo lazima likomeshwe.Vinginevyo tutakufa na Bunge.Nafikiri Sitta amenisikia!
 
Kwani hiyo bei aliyonunulia ni sahihi? Nafikiri ni muhimu kufahamu madai kabla ya kutoa conclusion hii ni ngoma nzito sana nafikiri wengi wanaona ni maswala madogo lakini si hivyo.

Laiti kama wote tungelijua nini kiko huko jikoni hivi sasa Bongo pangekuwa hapatoshi.


Wewe sema ngoma nzito kiaje sema sheria iliyoanzisha kosa hilo inataja adhabu yake nini? hii sio usadikishe tu ngoma nzito.
Sio kwamba sitaki ashitakiwe! la kama tutafaidika na kesi hiyo ok ila kama itakuwa sio cost effectively,that is what I call kichwa maji kutaka utaratibu ufuatwe tu no matter the result is more likely to be large input power to low output power ratio.
 
Aksante sana BLURAY,Mkuu wastaili pongezi na sifa kwa kutuwekea hii Speech Muhimu sana katika Taifa letu kwenye kipindi hiki tunachopambana na Mafisadi.


Mzee Samson Luhigo ni Once in a life time kiongozi,alichokifanaya hakijawahi kufanyika katika historia ya Tanzania na namuombea maisha marefu yenye fanaka tele.

Mzee Luhigo ni kiongozi ambaye nchi yetu inamhitaji sana maana ni mkweli,mchapa kazi na anatumika kwa maslahi ya nchi,Kama Mh Jakaya Kikwete anania ya kweli ya kuwa na kiongozi mwenye muadilifu na mpenda maedeleo anahitaji kumpatia kazi huyu mzee.
 
Huyu Mzee hatakutaka mchezo hata kidogo




Kipende chako, kitakachokufaa

Wafanaykazi wa Mamlaka wametakiwa kupenda na kulinda mali na vifaa vya shirika na kuwa macho kuwafichua wale wote wenye vitendo vya kuhujumu vifaa vya Mamlaka na kutoa vitisho wakati ubinafsishaji wa kitengo cha Konteina katika Bandari ya Dar es Salaam unakamilika

Wnaohujuma Mamlaka na kutoa vitendo vitisho ni adui wa kubwa wa familia ya Mamlaka na nchi yetu ya Tanzania. Lazima wafahamike na hatimaye kuadhibiwa vikali. Mkurugenzi Mkuu, Bwana Samson Luhigo, alionya juma lililopita, wakati akizungumza na wafanyakazi Dar Es Salaam

Mkurugenzi Mkuu aliwataka wafanyakazi wawe macho na hisia mbaya za hujuma ambazo zimejitokeza hivi karibuni katika kitengo cha Kontena ambacho kimekodishwa kwa Kampuni binafsi .

“Tuwapige vita kwa nguvu zetu zote wanaohujumu na kutoa vitisho, na kuongeza jitihada za uzalishaji na ufanisi bora wa kazi ili kulinda maslahi yetu na ya nchi yetu”, Bwana Luhigo alisisitiza.

Mkurugenzi alionya kwamba serikali ipo macho na makini sana katika maswala ya usalama na utulivu kwa hivyo wenye vitendo vya kuhujumu hatimaye watakamatwa na kathibitiwa.

“Tuendelee kwa nguvu zetu zote kuwasaka wanaohujumu mali za umma na tuendelee kufanya kazi kwa nguvu zetu zote na bidii zetu zote,’aliasa Bwana Luhigo.

Katika mkutano huo ambao ulihudhuriwa na viongozi wa manejimenti na Chama cha Wafanyakazi katika Bandari zote za Mamlaka - Tanga, Dar es Salaam, Mtwara na Makao Makuu, Bwana Luhigo alitoa taarifa ya mafao ya Wafanyakazi watakaokosa ajira kutakana na ubinafsishaji wa vitengo mbalimbali vya Mamlaka ukianzia Kitengo cha Konteina katika Bandari ya Dar es Salaam.

Akijibu risala iliyosomwa na mfanyakazi mmoja kwa niaba ya wafanyakazi wa Kitengo cha Konteina, Mkurugenzi Mkuu aliwahakikishia wafanyakazi kwamba manejimenti ina majukumu ya kuwajibika kulinda maslahi ya wafanyakazi kwa kuzingatia taratibu na sheria zilizopo ambazo hazinyanyasi au kudhalilisha kwa aina yoyote.

Mkurugenzi Mkuu aliwashauri wafanyakazi ambao wamepata ajira na Kampuni binafsi ya TICTS inayoendesha Kitengo cha Konteina kuendelea na uanachama wao katika mifuko ya pensheni ya PPF na NSSF ili kuboresha mafao yao watakapostaafu.

Bwana Luhigo aliwaeleza wafanyakazi kwamba serikali imeagiza Mamlaka kuwalipa wafanyakazi wote watakaokosa ajira kutokana na ubinafsishaji, mafao yao ya kisheria na mkono wa kwa heri na mshahara wa miezi kumi na miwili.

Mkutano huo wa wafanyakazi ulihudhuriwa na Katibu Mkuu wa Mawasiliano na Uchukuzi - COWTU (T), Bwana Charles Semaang’ombe.

Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Bwana E. N. Mgawe aliwajulisha viongozi wa Menejimenti na Chama cha Wafanyakazi wakiwepo wenyeviti wa matawi ya Makao Makuu na Bandari ya Dar es Salaam, Mabwana S. M. Challa na Salehe Omari.
 
KAVERSION KENGINE, MALIZIA KWA KU DEBURG PROG TUU MKUU,

IF (Kosa1= Si Kosa) THEN

((Kosa2=Kosa (limerudiwa from Kosa1)

(but Kosa2 halijarudiwa (kurudiwa kosa hakujarudiwa))

WHILE (Kosa2 becomes Kosa1= Si Kosa)

ELSE

END




Yaani nyie mpewa tatizo kuwa kurudia kosa ni kosa mnaandika program zenu zinazopelekea kuwa kurudia kosa si kosa kwa logoc mnazotaka ninyi.Programming unaweza kuandika itoe output yeyote otakayo inategemeana unatumia preprocessor gani ,ni juu yako kutumia kuringana expression ilivyo sio mtunge ya kwenu.

kwani kusema kosa si kosa kurudia ni kosa

#include <iostream>
#include <math.h>
using namespace std;

void one(){

float a = 0.0;
float b = 0.0;
float c = 0.0;
float x1 = 0.0;
float x2 = 0.0;

//a ni kosa la kwanza b ni kosa
cout << "Enter code for kosa a:\n";
cin >> a;
cout << "Enter code for kosa b:\n";
cin >> b;

//kama makosa yanafanana code say 0 means ilimerudiwa so 0 ni kosa
if(a == 0 && b == 0 ){
x1 = 0;
x2 = 0;
cout << "kosa ni:" "\n"
<< "x1 = " << x1 << " , " << "x2 = " << x2 << "\n";
}

//is kosa b code the non-zero number? if so tell the
if(a == 0 && b!= 0){
b = b;
cout << "si kosa" "\n"
<< "b = " << b << "\n";
}
return 0;
}
 
Chenge alisema hela zake nje ni za halali, lakini ameishia kujiuzulu, Lowassa alisema hakupewa haki lakini akaishia kujiuzulu, sasa tumeshajua kuwa they do not mean what they say in fact they mean the opposite,

Mkapa anasema amestaafu, na Yona anasema nendeni mahakamani very soon tutagundua wanasema the opposite, maana kama kuna anyefikiri kuwa hawataguswa, basi ninamuonea huruma sana huu moto hautazimwa mpaka yatolewe malipo ya dhambi za wizi wa mali ya umma!

Hao wabunge ndio kwanza wameanza, next itakuwa kamati ya bunge Mwakyembe mwenyekiti, niye hayeni tu!
 
Huenda kwa sasa physically amechoka kwa umri, sasa subiri huko mbele ya haki ndio utaelewa nani kati ya mkapa na huyu Luhigo atakayekuwa amechoka kwenye kila kiungo cha mwili, maana huko mkapa atapewa mihela yenye moto aibebe kichwani yeye si greedy na mingine aitafune huku ikiwa inawaka moto!

Bravo Mzee Luhigo, wazee hebu mtafuteni mawasiliano yake tuweze kujua anvyoendelea na ikiwezekana kumsaidia kwa chochote maana viongozi kama yeye ni adimu sana Tanzania!
mzee hii speech imeniliza sana, kiasi ambacho sijui nisemeje.

nnaunga mkono hoja ya kumtafuta na kujua anaendeleaje? na kama hali yake sio nzuri ni busara kumsaidia huyu anastahiki zaidi haki ya nchi yake kuliko wengine.

na maneno yake pamoja na juhudi zake zitaendelea kuwa mkuki mkali kwa wale walioitafuna nchi yetu bila ya kimeme
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom