kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Si kwamba napinga kuwepo matuta barabarani, lakini hili tuta la barabara ya Akachube Kijitonyama ni kero, gari ndogo lazima liburuzike, limejengwa bila utaalamu wowote, mkandarasi alipoambiwa ajenge tuta amejenga la kupandia viazi, wanaohusika hebu libomoeni linatuharibia bagari na kodi za kuagiza mengine ni kubwa, tusaidieni lijengwe kwa utaalamu tupite kwa usalama.