Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
MKAKATI WA KUILINDA KURA YAKO ISICHAKACHULIWE HUU HAPA
Hivi kuna faida gani kuacha shughuli zako na kwenda kupiga kura na siku inayofuata unasimuliwa ya kuwa mambo yamekwenda visivyo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kumbe huku nyuma yale masaa ya jioni ambayo uko kwenye mapumziko ukitegemea mfumo huu wa kidhalimu ufanye kazi ya kutenda haki wenzio uliowaamini wanaoitwa mawakala wa vyama mbalimbali wanapanga matokeo na kuyasaini tu bila hata ya kuzihesabu kura zetu!!!!!!!!! Aiseee huu kweli ni uungwana?
Jasho letu safari hii tusikubali likageuzwa kipato cha wajanja wachache.
Safari hii, dhuluma hii tupambane nayo kwa kuhakikisha siku ya tarehe 31st Oktoba hatuna shughuli nyingine ila kurudi masaa ya jioni kuhakikisha haki inatendeka na inaonekana ikitendeka.
Saikolojia imeonyesha huko Kenya ya kuwa wadhulumaji hubeba mikoba iliyorindima fedha usiku usiku ili kuyachakachua matokeo. Tukiwepo kwenye vituo vya kupiga kura hadi kieleweke hapo matokeo yatakapotangazwa mikoba hiyo iliyofurika balaa kwa mpigakura wataipitishia wapi na mgawo watajadiliana saa ngapi maana wewe mpiga kura utakuwa pale ukimulika nyendo zote.
TULINDE KURA ZETU KAMA KUPIGA KURA KUNA TIJA ENDAPO HUWEZI KUIILINDA BASI USIPIGE HIYO KURAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Hivi kuna faida gani kuacha shughuli zako na kwenda kupiga kura na siku inayofuata unasimuliwa ya kuwa mambo yamekwenda visivyo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kumbe huku nyuma yale masaa ya jioni ambayo uko kwenye mapumziko ukitegemea mfumo huu wa kidhalimu ufanye kazi ya kutenda haki wenzio uliowaamini wanaoitwa mawakala wa vyama mbalimbali wanapanga matokeo na kuyasaini tu bila hata ya kuzihesabu kura zetu!!!!!!!!! Aiseee huu kweli ni uungwana?
Jasho letu safari hii tusikubali likageuzwa kipato cha wajanja wachache.
Safari hii, dhuluma hii tupambane nayo kwa kuhakikisha siku ya tarehe 31st Oktoba hatuna shughuli nyingine ila kurudi masaa ya jioni kuhakikisha haki inatendeka na inaonekana ikitendeka.
Saikolojia imeonyesha huko Kenya ya kuwa wadhulumaji hubeba mikoba iliyorindima fedha usiku usiku ili kuyachakachua matokeo. Tukiwepo kwenye vituo vya kupiga kura hadi kieleweke hapo matokeo yatakapotangazwa mikoba hiyo iliyofurika balaa kwa mpigakura wataipitishia wapi na mgawo watajadiliana saa ngapi maana wewe mpiga kura utakuwa pale ukimulika nyendo zote.
TULINDE KURA ZETU KAMA KUPIGA KURA KUNA TIJA ENDAPO HUWEZI KUIILINDA BASI USIPIGE HIYO KURAAAAAAAAAAAAAAAAAA