Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,699
- 104,559
Get prepared, bt usisahau KANU kiliangushwa na majabali yaliyotoka ndani ya chama kuungana na wapinzani .
CDM ikinyamaza, tegemea uasi Kutoka ndani ya chama tawala, lazima watagombana kugombea madaraka.
Bora kusubiri huo uasi ndani ya ccm, lakini kwa mwenendo huu wa chaguzi ambazo rais na genge lake wanaamua nani atangazwe mshindi, kisha watu kuachwa na vilema vya maisha, halafu viongozi wanaenda kwenye maridhiano sijui muafaka ni upuuzi tu.