duuu basi sawaKufinyiwa kwa ndani. Nimepata fundi huyo, sasa hivi nishazoea naona fresh tu
Pole saanaNilitamani nipate muda wa kufurahi na mume wangu tena baada ya kuugua kwake, lakini sikupata tena muda huo kwa kufariki kwake. I hope I will meet him soon.
Ameeen.
Safi sanaWakuu,
Kwenye haya maisha tuna mambo mengi sana ambayo ni matamanio, na kila mtu nafikiri wanayo. Sasa ni vitu gani ambavyo ulivitamani sana kuwa navyo, yaani ile tu unajiambia I wish, I wish...
Ila sasa unavyo au unavifanya na unaona ni kawaida kabisa yani!! Kuna watu walitamani kuwa na nyumba zao, sasa wanazo so wanaona ni kawaida tu, Wengine magari sasa wanayo so inaonekana kawaida tu...
Wengine kuwa na familia n.k Wengine hata elimu tu, kuna wale waliokuwa wanatamani kuwa na degree, masters au hata PHD sasa wanazo na ishakuwa kawaida tu!
Kila ambition mi naona kama inawezekana kwenye maisha ni kutia nia tu,
Kila unachokiona/kitamani kuwa nacho inawezekana kabisa.
Sasa kuna baadhi ya vitu vinachelewa, ila vinakuja tu!
Je, ni kitu gani mdau ulitamani kuwa nacho au kukifanya na sasa imewezekana na unaona kawaida?
Binafsi, nilichelewa sana kusafiri kwa kutumia ndege!!
Kwa sasa nasafiri na ndege maeneo mbalimbali Duniani kuliko hata ninavyosafiri na gari.
Sasa imekuwa kawaida sana 🤗.
Twende kazi.....
HapanaaaUshatimiza yote?
ni vizuri marehemu akarest mahala anapostahili kadiri ya mapokeo na imani ya jamii husika 🐒Hello jamii forum
M niko na swali hili
Ivi ni ipi namna sahihi ya uzikaji aliyoichagua Mungu ?
-kuchoma?
-kufukuia kwenye shimo?
-kutupa majini?
But kidini zaidi ni ipi njia sahihi ya kuzika?ni vizuri marehemu akarest mahala anapostahili kadiri ya mapokeo na imani ya jamii husika