MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

Popo bawa ni mwanaume na akikupitia ,utaona mambo yameharibika matakoni.
Wako majini wa kiume,wanawake wengi hutembelewa na majini wa kiume,hasa majini mahaba.
Jinimahaba wa kike hupenda wanaume
na jini mahaba wa kiume hupenda wanawake.

Kuna majini wa kiganga ,wengi wao huwa wanaume.
endelea na kufanya utafiti.
Lakini Kama unavuta bangi,majini hawapendagi mti huo na kwa hiyo huamua kusepa.
 
MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU:

Salaam wakuu wangu!

It's been long time since i posted a thread herein lakini haina mbaya kiviile manake makamanda mnawakilisha kama ilivyo ada!

STRAIGHT TO THE TOPIC:

Nimeangalia sana kwa uchunguzi wangu wa muda mrefu nikagundua kuwa:


1) Asilimia kubwa sana ya wanawake wanaandamwa na majini/mashetani/mizimu/mapepo....! Hii nimeifuatilia sana kuanzia makanisani, misikitini, hadi uraiani kwenye maisha ya kawaida ya kiswazi.

2) Wanawake ndo watu pekee wenye hofu ya mwenyezi Mungu..(makanisani wamejaa wao, misikitini, mikutano ya injili, jumuiya ndogondogo n.k)


Sasa mi nashindwa kuelewa wala kuziunganisha hizo hoja mbili hapo juu..

Mnisaidie wakuu!

ANGALIZO: Sina nia yoyote ya kuwa-humiliate wanawake



=====
BAADHI YA MAJIBU YALIYOTOLEWA NA WADAU:

===

===

===

===
Na wengi wao ni hawa kina Mwajuma na Aisha.
 
Bado jibu langu halitakuwa tofauti lakini naomba kwanza kukuondolea shaka juu ya kubaki kwa fumbo la Imani.

Kila mtu awe dada au kaka kama ana pepo mara nyingi huanguka chini,kisha pepo humtoka. Swala la wadada wengi kuanguka ni kwa sababu wanatumia vitu vingi vya mapepo.

Mfano mzuri sana ni pafyum kali sana lakini pia nguo nyingi wanazovaa zina mvuto kwa majini-referring to Wanajimu watakueleza.
Mkuu wewe utakuwa Muislamu, mafundisho yenu kuhusu majinia na mapepo ni tofauti kabisa na ukristo
Waislamu mnajikita sana ktk mambo ya kimwili, wakristo tunajikita zaidi facts za kiroho na sio mwili.
 
Kuna jinni alikuwa ananisumbua sana nimepata sana tabu..bahati mbaya hakubahatika kutoka,haongei Ila sasa hivi tumekuwa washikaji.vyovyote iwavyo najua ananielewa kwa sasa na ntashughulika nae mambo yakiwa sawa.nb;
Yuko mwilini mwangu)
 
Ubongo wa mwanamke una limbic system kubwa.

Hivyo Ni suspective kuamini Kwa urahisi Na kupata psychological disorders kama epilepsy,DID Na zingine.
Ndomaana wanawake Ni rahisi pia kunena Kwa luga
 
Back
Top Bottom