Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Nguguni zangu kulikuwa na joto na fukuto kali kutoka kwa waislamu kuhusu mahakama ya kadhi na waliishatangaza kutokipigia kura chama cha mapinduzi ccm kwa sababu tu waliondoa mipango hiyo kwenye ilani yao. Nasikia JK aliwaita viongozi wa waislamu na kuwaahidi kulishughulikia swala hilo hapo baadaye baada ya kupata urais na amewaomba waislamu wasimwangushe wampe kwanza kura kwani yeye kama rais hatashindwa kulishughulikia kwa njia nyingine bilka hata kuwekwa kwenye ilani.....nasikia ndiyo maana waislamu wako kimya kwani tayari wameridhishwa.
NISAIDIENI WANA JAMVI.
NISAIDIENI WANA JAMVI.