Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
hawa majamaa utani wao mmbaya. kwanza umeona hiyo asilimia ya popularity sijui wametumia ratio gani kupata 81, 73, 60, 45, 37, 34, 24, 20, 18 na kumi 14 au hata asilimia hawajui ni nini.
kiongozi bora ni yule ni mwenye msimamo wa maendeleo nyerere akuwa perfect kwenye kutuendeleza lakini. lakini msimamo wake wa umoja wetu ni kitu muhimu sana kwa hilo tu sidhani kama kuna viongozi wengi africa wana mkaribia. kwani nchi nyingi tu mpaka karne hii bado wanapata matatizo na mambo aliyoyaona tangu miaka ya sitini.
sokoine alikuwa na msimamo wake na ushujaa wa kutupwa katika alichokiamini, hii ni ishara ya kiongozi bora katika kipindi chake cha tanzania na socialism. ilaa ishujaa wake ungetupeleka pabaya ila ni sifaa ya kiongozi uumpe kwa msimamo wake na situation yenyewe.
Msuya alikuwa na msimamo wake Mwanga lazima kupate lami na umeme na akina nani lii washike hizi sudeko etc, etc. kwao upareni ni karibu na mtume huko lakini kwa taifa sijui wengine hila kwangu hana sifa ya kiongozi bora akua na msimamo wa taifa.
Lowassa ana msimamo wake tanzania itanikoma, nntakula kwa namna yeyote bila wa woga janja ni kumpata mtu atakae nifumbia macho watanzania wenyewe shauri zao yaani huyu kama histroria itaweza kumfuta ni vyema tu ili kuwaongepea wanetu tanzania amna watu wenye roho mbaya hizo.
huyu pinda yuko kwenye wakati tanzania ina ufisadi wa hali ya juu, ana anachosema wala ajulikani anasimamia wapi? zaidi ya kulopoka lopoka akizani ana danganya watoto wa chini ya miaka tano au anawatishia nyau watu wazima, kwa hoja zake za muungano hata sijui kama ni waziri mkuu hau ndio kwa sababu serikali yetu lazima iwe na mtu wa kuwa najina hilo ndio hapo anakuja pinda yupo kama ayupo.
kiongozi bora ni yule ni mwenye msimamo wa maendeleo nyerere akuwa perfect kwenye kutuendeleza lakini. lakini msimamo wake wa umoja wetu ni kitu muhimu sana kwa hilo tu sidhani kama kuna viongozi wengi africa wana mkaribia. kwani nchi nyingi tu mpaka karne hii bado wanapata matatizo na mambo aliyoyaona tangu miaka ya sitini.
sokoine alikuwa na msimamo wake na ushujaa wa kutupwa katika alichokiamini, hii ni ishara ya kiongozi bora katika kipindi chake cha tanzania na socialism. ilaa ishujaa wake ungetupeleka pabaya ila ni sifaa ya kiongozi uumpe kwa msimamo wake na situation yenyewe.
Msuya alikuwa na msimamo wake Mwanga lazima kupate lami na umeme na akina nani lii washike hizi sudeko etc, etc. kwao upareni ni karibu na mtume huko lakini kwa taifa sijui wengine hila kwangu hana sifa ya kiongozi bora akua na msimamo wa taifa.
Lowassa ana msimamo wake tanzania itanikoma, nntakula kwa namna yeyote bila wa woga janja ni kumpata mtu atakae nifumbia macho watanzania wenyewe shauri zao yaani huyu kama histroria itaweza kumfuta ni vyema tu ili kuwaongepea wanetu tanzania amna watu wenye roho mbaya hizo.
huyu pinda yuko kwenye wakati tanzania ina ufisadi wa hali ya juu, ana anachosema wala ajulikani anasimamia wapi? zaidi ya kulopoka lopoka akizani ana danganya watoto wa chini ya miaka tano au anawatishia nyau watu wazima, kwa hoja zake za muungano hata sijui kama ni waziri mkuu hau ndio kwa sababu serikali yetu lazima iwe na mtu wa kuwa najina hilo ndio hapo anakuja pinda yupo kama ayupo.
Last edited by a moderator: