Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 983
- 207
Huo mguno unaweza pia kuashiria jinsi muulizaji swali alivyoshindwa kutofautisha kati ya generator ya kawaida na mitambo ya dowans!Lakini kwa nini yule mtaalam alipoulizwa "mbona haya majenereta yanafanya kazi?" akajibu ..."aah..we acha tu.." kuna dalili za ukweli katika hili muhimu ni kufuatilia.