Inasikitisha sana,unapo andaa mashindano ya urembo kiac chakukosa zawadi za kukabidhi wa rembo cku ya mwisho.Rais wa utaliii Gideon Chipungahelo ametuma watu kwa siri mpk tabta kwa mrembo adelquee njozi ucku akimpelekea gari lake lenye no T 105 AJH,ambalo miss utaluii huyo amelikataaa kutokana na gari ilo kuwa bovu sana.Vibali vyote vyambele vimekwisha,matairi mabovu,milango aifungi,taa mbele alina kwa ujumla chakavu....Km ulishindwa kuundaa ucnge andaaa kbs iga mifano kwa Lundenga CHPS.Acha ubabaifu unatakiwa kwenda lichukua gari lako harka sana
hahahaaa i like thisha ha haa,huyu jamaa tapeli sana,yeye mwenyewe anaitwa CHIPS warembo wake wachooovu wataitwa MAYAI.