Mishahara ya mwezi Agosti ya watumishi hasa Walimu yafyekwa!

Baada ya mishahara ya mwezi huu kutoka, wengi wanaoweza kufuatilia miamala katika akaunti zao wamelalamika mishahara kufyekwa kwa viwango tofauti. Kuna 20,000: 15,000, 10,000: 7,000: 5,000: 1,500 n.k

sasa hayaeleweki ni makato toka benki ama ni hazina. Kama ni serikali imefyeka ni vema ikatangaza na imepata ngapi na imetumia kufanya nini usikute wananunulia ndege za kupanda mafisadi.

Biharamulo: Kurudishwa kwa pesa za mishahara zilizoongezeka
Kumbe hawa jamaa hawabagui, hata wewe gamba leo umesomeshwa namba na silabi, teh teh.
 
Baada ya mishahara ya mwezi huu kutoka, wengi wanaoweza kufuatilia miamala katika akaunti zao wamelalamika mishahara kufyekwa kwa viwango tofauti. Kuna 20,000: 15,000, 10,000: 7,000: 5,000: 1,500 n.k

sasa hayaeleweki ni makato toka benki ama ni hazina. Kama ni serikali imefyeka ni vema ikatangaza na imepata ngapi na imetumia kufanya nini usikute wananunulia ndege za kupanda mafisadi.

Biharamulo: Kurudishwa kwa pesa za mishahara zilizoongezeka
Mkuu kwa kifupi niseme tu kuwa selekali ya awamu hii ni dhulumati, si katika pesa tu hata haki nyingine, ni ubabe ubabe tuuu
 
Mbona hawajatoa taarifa kupitia TUCTA
Na cwt pia watuambie ni kitu gani kinatokea kwenye mishahara hii ya wanachama wao na sio wanakwenda tu hazina kuchukua check ya michango yetu ya mwezi.
 
Mimi si mwalimu lakini mshahara wangu umekatwa zaidi ya laki mbili! Sijui kuna nini!
 
Poleni sana...Mungu awafanyie wepesi kuyakabili maisha mapya ya kunyang'anywa haki yenu bila taarifa.
 
Naona watu wanadai watu wapewe taarifa kuhusu sababu za wao kukatwa fedha zao. Sasa taarifa za nini wakati wakubwa wameamua? Utaratibu wa sasa ni kwamba mkubwa akiamua hakuna mjadala na hakuna kuhoji.
 
Naona watu wanadai watu wapewe taarifa kuhusu sababu za wao kukatwa fedha zao. Sasa taarifa za nini wakati wakubwa wameamua? Utaratibu wa sasa ni kwamba mkubwa akiamua hakuna mjadala na hakuna kuhoji.
They say, it is only in Tanzania Mkuu
 
Baada ya mishahara ya mwezi huu kutoka, wengi wanaoweza kufuatilia miamala katika akaunti zao wamelalamika mishahara kufyekwa kwa viwango tofauti. Kuna 20,000: 15,000, 10,000: 7,000: 5,000: 1,500 n.k

sasa hayaeleweki ni makato toka benki ama ni hazina. Kama ni serikali imefyeka ni vema ikatangaza na imepata ngapi na imetumia kufanya nini usikute wananunulia ndege za kupanda mafisadi.

Biharamulo: Kurudishwa kwa pesa za mishahara zilizoongezeka
Sio walimu tu hata watumishi wengine,haya ni manyanyaso kwa watumishi na ipo siku tutachoka tu
 
They say, it is only in Tanzania Mkuu
I hate the fact that "It is only in Tanzania". Surely, to be ruled by CCM is a miscalculation. However I am comforted by the fact that CCM is bound to fall, and the shock waves of her fall will be felt beyond the borders of this continent. It will be a great jubilation.
 
Fuatilieni kwenye Benki zinazowahudumia. Taarifa rasmi kutoka tawi la Benki moja maarafu hapa Tanzania ni kwamba kuanzia mwezi huu wa nane wamemaliza kuset mashine zao maalumu kwa ajili ya kukata ile VAT ya 18%.
 
Na wanakusanya ya kuanzia tar 01.07.2016. Hayo maelezo nimeelezwa na ofisa mojawapo wa Benki hiyo ofisini kwake baada ya kuona makato kama ya 45,000/=kwenye akaunt yangu
 
Baada ya mishahara ya mwezi huu kutoka, wengi wanaoweza kufuatilia miamala katika akaunti zao wamelalamika mishahara kufyekwa kwa viwango tofauti. Kuna 20,000: 15,000, 10,000: 7,000: 5,000: 1,500 n.k

Sasa hayaeleweki ni makato toka benki ama ni hazina. Kama ni serikali imefyeka ni vema ikatangaza na imepata ngapi na imetumia kufanya nini usikute wananunulia ndege za kupanda mafisadi.

Biharamulo: Kurudishwa kwa pesa za mishahara zilizoongezeka
Mgongee salari slipu akufafanulie..
Acha kusoma nyota wakati vielelezo vipo..

Njoo ukiwa umejiandaa..
 
Back
Top Bottom