Labda anauhakika wa kupata mwenzetuNdugu,nafasi ndo kwanza zimetangazwa halafu wewe ushapata tiyari? 😀😀😀au ni makosa ya kiuandishi?
dadeki yani umesha pata kazi ata deadline ya tangazo bado kweli maisha ayafanani hongera tumia fursa ila kuwa mwema sanawana jukwaa nimepata kazi taasisi mbili ikiwemo pccb ningependa kujua kazi na range ya mishahara ya pccb kwa mtu mwenye elimu ya form 6
Tangazo unalo mkuu, nipastie hapaNdugu,nafasi ndo kwanza zimetangazwa halafu wewe ushapata tiyari? 😀😀😀au ni makosa ya kiuandishi?
Ndugu,nafasi ndo kwanza zimetangazwa halafu wewe ushapata tiyari? au ni makosa ya kiuandishi?
Oya mzee vp mwaka Jana hukutoboa?? Na je unaweza ukaitwa hata kama kozi haipo pale kwenye Tangazo.Waliopata kazi huko hata siku moja hawajitangazi iyo labda pccb saccos
Kutoboa wapi mzee?Oya mzee vp mwaka Jana hukutoboa?? Na je unaweza ukaitwa hata kama kozi haipo pale kwenye Tangazo.