McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,388
- 7,551
Huu uzi mbona umedorora, mishahara imeshaingia nini?
Ukiona imepita tar 22 na mshahara hakuna basi majority ya civil servants wanachanganyikiwa, kwa sasa wapo kimya maana hawaamini wanachokiona mpaka leo serikali imezila kutoa mshahara heeee heeee.