musaramadhani
Member
- Dec 19, 2012
- 27
- 0
Nachukua PHD CBE.
gesi kwanza...mafisadi mtajiju
Ikisimama panda
5. Heshima pesa shikamoo kelele tuuNinafurahishwa na misemo inayaoandikwa katika magari hususani daladala.
1. Silaha pesa Bastola mzigo
2. Hata uoge mjini huendi
3. Chezea mshahara usichezee kazi
4. Hata manyunyu ni mvua
Endeleza hapo.
Ninafurahishwa na misemo inayaoandikwa katika magari hususani daladala.
1. Silaha pesa Bastola mzigo
2. Hata uoge mjini huendi
3. Chezea mshahara usichezee kazi
4. Hata manyunyu ni mvua
Endeleza hapo.
Hata ukipima hunipati...Daladala moja limeandikwa "Kupima sio tatizo, tatizo majibu"
Ninafurahishwa na misemo inayaoandikwa katika magari hususani daladala.
1. Silaha pesa Bastola mzigo
2. Hata uoge mjini huendi
3. Chezea mshahara usichezee kazi
4. Hata manyunyu ni mvua
Endeleza hapo.