Misamiati na Misemo iliyotia fora wiki hii kuhusu Escrow

tpaul

JF-Expert Member
Feb 3, 2008
21,937
18,416
Kwa mujibu wa matukio yaliyotukia wiki hii hapa nchini, ifuatayo ni misamiati iliyotia fora:

1. FOMULESHENI
2. Majizi
2. Tumbiri
3. Singasinga
4. Mafisadi
5. Ashiki
6............

Mnaweza kuongeza mengine mpaka tupate orodha kamili ya misamiati hiyo.
:israel:

Hakuna wakati ambao Tanzania ilivunja rekodi kwa uwingi wa watu kufuatilia Bunge kama hili sakata la skendo ya ESROW. Watu walifuatilia ktk TV,radio na hata ktk mitandao
Kuna michango mingi ilitolewa ya wabunge ilikuwa ya busara, vituko,kejeli nk..Kuna misemo ambayo imeiweka Bunge hilo ambayo binafsi na wengine hatutaweza kusahau..hapa chini ni baadhi ya matamko mbalimbali ninayoikumbuka. Kama unayoyo misemo ambayo nimeisahau...jalibu kutupia hapa

Zitto ..."serikali ilipata ganzi na ikagandishwa"
Lusinde:..." unadhani kujiudhuru ni jambo dogo"
Lusinde: "Leo mnasimama hapa awajibike awajibike, wewe umewahi kuwajibika? unadhani kuwjaibika mchezo?"
Lusinde:" Mzee Pinda we nenda na kimya kimya yako hadi Mungu atakapokujalia. Habari ya kukutoa hapa haipo."
Lusinde:" Mnasema fedha sio serikali sasa kama fedha sio za serikali tangu lini CAG akakagua fedha zisizokuwa za serikali."
Lusinde;.."unanibania pua....mimi siyawezi...nimekatazwa
Ole Sendeka;.."Profesa Muhongo anajua miamba na sio mambo ya juu"
Filiku Njombe; ..."Hakuna profesa muongo kama profesa Muhongo"
Asumpta; "PAC ni ya UKAWA"
Kigwalagwala;..."sijawahi kumwona profesa muongo kama Muhongo"
Mwandosya ;.."serikali tukubali na tujirekebishe na tujifunze"
Mpina: "Ni bahati mbaya tuna Profesa muongo kama Muhongo ambaye ni Waziri wa Nishati na Madini"
Zitto: "Nimekuwa na mgogoro na chama changu lkn kwenye hili wameniunga mkono, kwa mara ya kwanza nimehudhuria kikao cha UKAWA"
Zitto: "Naomba wanaonishughulikia wanishughulikie mimi; mwacheni mamangu apumzike"
Kafulila:"Tusiache kujadili kifo cha Waziri Mgimwa kisa mwanae hataki; kuna siku Rais atakufa na mwanae atataka tusichunguze"

Zitto;..."mimi ni mwanasiasa na nina ngozi ngumu"
Makinda;..."wasio soma sheria ndio wanaopiga kelele"
Makinda;..." sitakikusikiliza waswahili"
Makinda;..."leo mpaka kibuyu cha Escrow kivunjike"
Makinda..."Mie kukesha sina tatizo niko veri freshi"
 
Kwa mujibu wa matukio yaliyotukia wiki hii hapa nchini, ifuatayo ni misamiati iliyotia fora:

1. FOMULESHENI
2. Majizi
2. Tumbiri
3. Singasinga
4. Mafisadi
5. Ashiki
6............

Mnaweza kuongeza mengine mpaka tupate orodha kamili ya misamiati hiyo.
:israel:

Bush Lawyers.
 
Back
Top Bottom