jlm
Member
- Dec 15, 2009
- 29
- 18
hello..natumai wote wazima
naamini hapa kuna wataalamu wa mambo ya sheria na ushauri pia.
kuna situation ambayo ipo hivi..kwenye familia imetokea kuwa baba ana mtoto wa nje ambaye alizaa kabla hajaoa. lakini baadae akaoa akawa na familia yake..imetokea baba kafa bila kuacha wosia..sasa je kisheria yule mtoto wa nje ana haki ya kurithi?? and if not why? help me with this pliz.
naamini hapa kuna wataalamu wa mambo ya sheria na ushauri pia.
kuna situation ambayo ipo hivi..kwenye familia imetokea kuwa baba ana mtoto wa nje ambaye alizaa kabla hajaoa. lakini baadae akaoa akawa na familia yake..imetokea baba kafa bila kuacha wosia..sasa je kisheria yule mtoto wa nje ana haki ya kurithi?? and if not why? help me with this pliz.