Strawberry
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 274
- 108
Habari wana Jukwaa.Mimi ni mwanamke wa umri wa miaka 32.nilifiwa na mme wangu sasa ni miezi sita toka afariki.
Alifia hapa DSM na kuzikwa kijijini kwao huko mkoa flani sitaki kuutaja jina kwa kuhofia usalama wangu.
Aliumwa nikauguza na akanifia mie mwenyewe.Tumejenga Nyumba moja na tuna shamba.Tulifunga ndoa ya kanisani.
Tatizo linakuja kwenye kufungua mirathi ya mme wangu.Maana alikuwa mtumishi wa serikalini.
Shemeji zangu wanataka mirathi tufungulie kijijini kwao.na mie nataka tufungulie hapa DSM maana ndipo tunapoishi na kujenga tumejenga hapa na kufia kafia hapa pia cheti cha kifo kinaonesha kafia hapa DSM.
Hawa shemeji zangu hawana nia njema na mie maana tayari wameshaanza chokochoko za kutaka kunitoa kwenye nyumba niliyojenga na marehemu mme wangu.Kwa kisingizio ipangishwe ili watoto wapate ada ya shule.
Tulifanikiwa kukaa kikao cha kuteua misimamizi wa mirathi mwaka jana Dec na wakaniteua mie nikisaidiwa na shemeji yangu.ila kwa ugomvi mkubwa sana walitaka wao wawe wasimamizi.
Mwisho wasiku tukaafikiana na wao kazikatalia zile karatasi za kuteua msimamizi wa mirathi wakazipeleka weyewe mahakamani bila mimi kunishirikisha.Hakimu akawarudisha akaaambia waje adi mie niwepo.
Basi wapendwa naomba msaada kwa yeyote anae jua wapi nianzie ili niweze kufanikisha kufungua mirathi huku hata kama ni shirika au taasisi yeyote inayoweza kunisimamia kwa hilo.
Alifia hapa DSM na kuzikwa kijijini kwao huko mkoa flani sitaki kuutaja jina kwa kuhofia usalama wangu.
Aliumwa nikauguza na akanifia mie mwenyewe.Tumejenga Nyumba moja na tuna shamba.Tulifunga ndoa ya kanisani.
Tatizo linakuja kwenye kufungua mirathi ya mme wangu.Maana alikuwa mtumishi wa serikalini.
Shemeji zangu wanataka mirathi tufungulie kijijini kwao.na mie nataka tufungulie hapa DSM maana ndipo tunapoishi na kujenga tumejenga hapa na kufia kafia hapa pia cheti cha kifo kinaonesha kafia hapa DSM.
Hawa shemeji zangu hawana nia njema na mie maana tayari wameshaanza chokochoko za kutaka kunitoa kwenye nyumba niliyojenga na marehemu mme wangu.Kwa kisingizio ipangishwe ili watoto wapate ada ya shule.
Tulifanikiwa kukaa kikao cha kuteua misimamizi wa mirathi mwaka jana Dec na wakaniteua mie nikisaidiwa na shemeji yangu.ila kwa ugomvi mkubwa sana walitaka wao wawe wasimamizi.
Mwisho wasiku tukaafikiana na wao kazikatalia zile karatasi za kuteua msimamizi wa mirathi wakazipeleka weyewe mahakamani bila mimi kunishirikisha.Hakimu akawarudisha akaaambia waje adi mie niwepo.
Basi wapendwa naomba msaada kwa yeyote anae jua wapi nianzie ili niweze kufanikisha kufungua mirathi huku hata kama ni shirika au taasisi yeyote inayoweza kunisimamia kwa hilo.