Makene
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,475
- 282
Pindi moja nilimsikia Pombe akijisifu kila kona ya Tanzania kuna wakandarasi wakiendelea na ujenzi wa mabarabara kwa fedha ya watanzania na serikari ya ccm.
Hili linanipita kando, nikisikia ya kwamba wakandarasi wengi sasa wameacha, au hawaendelei na ujenzi wa barabara zinazojengwa chini ya kiwango.
Sijawahi kumshabikia Magufuli hata chembe. Huyo ni mtu wa hasara kwa nchi hii, hatufai, halafu matambo sasa.!
Hili linanipita kando, nikisikia ya kwamba wakandarasi wengi sasa wameacha, au hawaendelei na ujenzi wa barabara zinazojengwa chini ya kiwango.
Sijawahi kumshabikia Magufuli hata chembe. Huyo ni mtu wa hasara kwa nchi hii, hatufai, halafu matambo sasa.!