Miradi ya Maendeleo Almost Zero, Wizara Zipo Hohehahe, TRA Wanakusanya 113!!!!

NdasheneMbandu

JF-Expert Member
Jan 2, 2012
940
308
Wandugu,

Nchi hii, ina mambo ya kushangaza sana. Tunaambiwa kila mwezi TRA wanakusanya kiasi cha kuvuka malengo. Eti wakati mwingine wanafikisha asilimia 113!! Ajabu, tangu awamu ya nne iingine ulingoni hatujaona hata mradi wowote mkubwa kama ilivyokuwa awamu ya tatu!!! Sasa wizarani watumishi wanakiona cha mtema kuni. Hakuna hela hata karatasi za kuprintia barua wanaishiwa. Mambo ya chai na vikolombwezo vilivyozoeleka enzi za awamu ya tatu ndiyo vimeyoyoma. Jambo tunalojiuliza wengi ni je, fedha zinazokusanywa na TRA zinakwenda wapi?!?!?
 
Tunasafiri kutafuta wafadhili.si unajua ulazima wa ziara za kujenga mahusiano na wafadhili.

Vilevile ni muhimu sana kwa wafanyabiashara wetu kujifunza mbinu za kisasa kabisa za uendeshaji wa biashara zao.

Hizi ni baadhi tu ya sababu za matumizi ya serikali.pia usisahau ni lazima tutoe rambirambi kwenye misiba ya watu mashuhuri ina maana umesahau kama tulitoa rambirambi kwenye msiba wa bongo movie supra star!

Wewe lipa kodi usijidai kuuliza uliza matumizi.
 
Wandugu,

Nchi hii, ina mambo ya kushangaza sana. Tunaambiwa kila mwezi TRA wanakusanya kiasi cha kuvuka malengo. Eti wakati mwingine wanafikisha asilimia 113!! Ajabu, tangu awamu ya nne iingine ulingoni hatujaona hata mradi wowote mkubwa kama ilivyokuwa awamu ya tatu!!! Sasa wizarani watumishi wanakiona cha mtema kuni. Hakuna hela hata karatasi za kuprintia barua wanaishiwa. Mambo ya chai na vikolombwezo vilivyozoeleka enzi za awamu ya tatu ndiyo vimeyoyoma. Jambo tunalojiuliza wengi ni je, fedha zinazokusanywa na TRA zinakwenda wapi?!?!?

Hivi miradi ya barabara za lami mikubwa katika bara la Afrika kwa wakati huu, iko wapi?
 
Wandugu,

Nchi hii, ina mambo ya kushangaza sana. Tunaambiwa kila mwezi TRA wanakusanya kiasi cha kuvuka malengo. Eti wakati mwingine wanafikisha asilimia 113!! Ajabu, tangu awamu ya nne iingine ulingoni hatujaona hata mradi wowote mkubwa kama ilivyokuwa awamu ya tatu!!! Sasa wizarani watumishi wanakiona cha mtema kuni. Hakuna hela hata karatasi za kuprintia barua wanaishiwa. Mambo ya chai na vikolombwezo vilivyozoeleka enzi za awamu ya tatu ndiyo vimeyoyoma. Jambo tunalojiuliza wengi ni je, fedha zinazokusanywa na TRA zinakwenda wapi?!?!?


Either TRA set very easy targets in terms of revenue collection or they do not collect the more than 100%! So it might be big PR stunt they are pulling on us!!!!!
 
Wandugu,

Nchi hii, ina mambo ya kushangaza sana. Tunaambiwa kila mwezi TRA wanakusanya kiasi cha kuvuka malengo. Eti wakati mwingine wanafikisha asilimia 113!! Ajabu, tangu awamu ya nne iingine ulingoni hatujaona hata mradi wowote mkubwa kama ilivyokuwa awamu ya tatu!!! Sasa wizarani watumishi wanakiona cha mtema kuni. Hakuna hela hata karatasi za kuprintia barua wanaishiwa. Mambo ya chai na vikolombwezo vilivyozoeleka enzi za awamu ya tatu ndiyo vimeyoyoma. Jambo tunalojiuliza wengi ni je, fedha zinazokusanywa na TRA zinakwenda wapi?!?!?

fisadi kitilya amlikwe haraka na ang'olewe haraka, hana tija.
 
Back
Top Bottom