Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

Nilipenda hotuba yake hapo majuzi wakati wa utoaji wa tuzo kwa waandishi wa habari. Aliyemuandalia ile hotuba na ashukuriwe, ilijaa nasaha kuhusu maadili ya uandishi wa habari na uzalendo kwa nchi, sio zile hotuba alizokuwa akiandika Januari. Ile ilikuwa hotuba mwanana sana, with lots of sense of humour
 
kikwete raisi mwenye demokrasia ya kweli.amewaacha wananchi na vyama vyote vya siasa wafanye mambo wanayotaka
kwa uhuru wa kweli.Ni kiongozi mwenye fair play kwenye siasa.Amekubali yeye mwenyewe na serikali yake kukosolewa kwa kiwango kilichovuka mipaka.Hajali hata kama uhuru huo utasababisha ccm kufa,alichoangalia ni watanzania kuwa huru katika kutetea maslai ya nchi yao.Wanaosema amekuwa mpole kupindukia ni wale waliozoea utawala wa nguvu,usiotaka kukosolewa,utawala usioamini inchi kwanza chama baadae.kwa hili kikwete ni Kiongozi bora ambaye sintamsahau maisha yangu yote
 
Sita msahau huyu jamaa,Amiri jeshi mkuu wa ukweli,..."Waandamanaji arusha wapigwe risasi"..IGP Akawarushia mbwa wake amri,wakatuchafua na damu..
 
aliyekutuma amechemka coz mabaya hujayasema,lete na thread ya mabaya yake ili kuondoa bias
 
aliyekutuma amechemka coz mabaya hujayasema,lete na thread ya mabaya yake ili kuondoa bias
Kongomboli, asante kwa hoja hii ni ya msingi sana!.
Mimi Pasco wa jf siku zote nasisitiza sina chama wala sifungamani na upande wowote!. I always speak my mind bila kujali mawazo hayo yatamfurahisha au kumkerehesha nani!.

Nilipopandisha thread hii ya Mazuri ya JK, pia nilipandisha thread ya Mabaya ya JK!. Sijui kwa ninni au ni vigezo gani modes wanavyotumia kuifanya thread iwe sticky na nyingine kuachwa kuipotezea, matokeo yake mtu atakayenisoma mimi kwenye thread hii anaweza kunidhania ninafungamana na upande fulani au na mimi ni type ya wale wale wa fagilia type au kujikomba komba kwa watawala!. I'm not!.

Mode, naomba ile thread yangu ya mabaya ya JK irudishe na kuifanya sticky ili watu wayaone na mabaya ya jk na kunitendea haki mimi muanzisha thread!.

Angalizo, nawaomba wana jf wenzangu tuongeze uwezo wetu kwenye "managing political divesity" kwa kukubali mawazo tofauti bila kunyoosheana vidole vya 'umetumwa'!.
 
kusema ukweli JK ana mazuri yake,tena mengi,ila watu hupima mazuri ni mangapi na mazuri ni
ni mangapi .yale mazuri yakiwa machache na mabaya yakiwa mengi nipo uuuuuuuzuri wa mtu unaku
wa hauonekani ndo yanayomkuta mpendwa wetu JK anatia huruma mpaka amekonda kwa mawazo
inaonekana yeye kama yeye ana dhamira njema na Safi sasa wale wenzake ni kama wanamkomesha
na kusema atatufanya nini mbona tunayajua mabaya yake bila kuangalia kwamba Nchi inaangamia
Dear lord help us!
 
Mkuu itoshe kusema kuwa:
1.Una HOJA ZA MSINGI sana AMBAZO PIA umezielezea kwa hoja zenye maelekezo ya kutosha!!
Hii ni KWAKUWA !!
1.Umejenga hoja yako juu ya hoja nzito na hivyo kuweza kufanya ARGUMENT Yako kuonekana kuwa YA KISANII na hivyo kuthibitisha kuwa
1:UMEMTAZAMA raisi JK kikwete kama MSANII.
2:UMETHIBITISHA hilo kwa HOJA nzito na kisha kuthibitisha kuwa anavutia kwani:
1:HACHOSHI KUSIKILIZA.
2:Maelezo Yake YALIJITOSHELEZA kwa kuwa ulimsikiliza kwa MASIKIO MENGI hivyo kumuelewa kuwa sifa mojawapo kama BINADAMU:
2:UTAFITI WA KISAYANSI:
A/Kila binadamu ni UNIQUE.
B/Hivyo kwa MTAZAMO WANGU ukiondoa VICHAA na Ma GENIUS hakuna mwingine YOYOTE aliye na uwezo WA KIPEKEE kuweza kumjadili binadamu yoyote na kumjadili bila HOJA NZITO na kufanikiwa Kukwepa KUUMBUKA!
MY TAKE:
.KWA USHAHIDI ulio toa naweza kuchangia ifuatavyo:
1.KIKWETE NI MZURI kama binadamu yoyote na ana sifa ya PEKEE ya U GREAT THINKER!!
2.Wewe pia unaweza ukawa gT
 
Ni binadamu,baba,mazazi anasifa nyingi za kupendeza mbele ya jamii, ila nadhani kwenye uongozi kunagharama zake,kusemwa vibaya likiwemo, nampongeza sana kwa kuwapa uhuru vyombo vya habari, wako huru sana kuandika, hata siri zinaandikwa tuu, tumejua mengi katika kipindi chake, amalize tu kwa amani asepe
 
Ni binadamu,baba,mazazi anasifa nyingi za kupendeza mbele ya jamii, ila nadhani kwenye uongozi kunagharama zake,kusemwa vibaya likiwemo, nampongeza sana kwa kuwapa uhuru vyombo vya habari, wako huru sana kuandika, hata siri zinaandikwa tuu, tumejua mengi katika kipindi chake, amalize tu kwa amani asepe

ni kweli kabisa anastahili sifa kwa kuruhusu uhuru kwa vyombo vya habari.

hivi kwa mfano angeamua kutoruhusu uhuru huo unadhani angefanikiwa? nauliza tu... acheni hizi cheap stories. hakuna kiongozi yeyote atakayeweza kubana uhuru wa habari tena tz, labda wa tz wote wageuke kuku. so he's doing it out of obligation and not choice.

halafu una hakika gani kwamba ameruhusu, pengine ameona tu uvivu kulifuatilia kama anavyoona uvivu kuwakolimba hao wasaidizi wake ambao amewateua yeye mwenyewe mnaosema ndio wanaomwangusha.
 
khaa seriously?? so how does his 'good sense of humour' help a poor Tanzanian? alichaguliwa ili kuleta maendeleo na sio kuwa Mr. Tanzania or mchekeshaji
 
mbona mabaya yake hujayaweka wazi??? may be mabaya ni mengi kuriko mazuri hivyo naomba uniwekee wazi kuhusu mabaya yake, ukishindwa ntakusaidia
 
hiyo siyo point maana kuacha mambo yakaenda holela ni udhaifu na ni vizuri kuwa na msimamo kwa baadh ya mambo maana nchi itayumba yumba saaana
 
ki.jpg

 
This is really transparency; the public will know who's stealing the money now or is just a statement without results?
 
Back
Top Bottom