pitia vizuri speech ya mh. utamuelewa alisema kuna ulazimu wa serikali kujenga majengo ya ubalozi kwa ajili ya kuondoa adha ya kupanga..vilevile akadai serikali inatakiwa kununua au kujenga majengo ya balozi zake hii itawezesha kupangisha na kuingizia serikali mapato..au serikali itumie makampuni ya ujenzi ya kimarekani yajenge hayo majengo na wayatumie kwa shughuli na mda ukiisha yanakuwa ya kwetu...aliongea mengi ila hayo ni kwa ufupi