Mbonea
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 640
- 20
Wadau, hivyi karibuni ndugu na jamaa zetu wamekuwa wakiathirika na hata kupoteza uhai wao kutokana na milipuko ya mabomu na hata mitungi ya gesi...
Ningependa kufahamu, JE HAKUNA MADHARA YOYOTE KUWEKA MINARA YA SIMU KARIBU NA MAKAZI YA WATU?
Nauliza kwa sababu hapa karibu na kwangu kumekuwa na mvutano kati ya jamaa aliyejitolea eneo lake kwa ajili ya kuweka mnara wa VODACOM na wananchi wa jirani wakipinga mnara huo kuwa karibu na makazi yao.
Naomba mnisaidie ili mwenzenu nijue MADHARA au FAIDA ya mnara ule kuwa pale.
AKSANTENI.
Ningependa kufahamu, JE HAKUNA MADHARA YOYOTE KUWEKA MINARA YA SIMU KARIBU NA MAKAZI YA WATU?
Nauliza kwa sababu hapa karibu na kwangu kumekuwa na mvutano kati ya jamaa aliyejitolea eneo lake kwa ajili ya kuweka mnara wa VODACOM na wananchi wa jirani wakipinga mnara huo kuwa karibu na makazi yao.
Naomba mnisaidie ili mwenzenu nijue MADHARA au FAIDA ya mnara ule kuwa pale.
AKSANTENI.