inategemea na circumstances mzee kama mtuhumiwa alishawai kuruka dhamana, ama kama kupewa dhamana kutadhuru maisha ya mtuhumiwa, kama kosa lenyewe halina dhamana, kama mtuhumiwa ana uwezo wa kuweka dhamana e.t.c, so katika moja ya mazingira hayo tajwa ana haki,
Hivi hakimu wa mahakama ya wilaya anahaki ya kumuamuru hakimu wa mahakama ya mwanzo asitoe dhamana kwa mshitakiwa.