Ingekuwa vipi siasa ingekuwa sawa na footbal? Siasa ya bongo ingekuwa na wapenzi kweli? Kama watu walivyolisusa soka la bongo, nadhani hata siasa letu lingesuswa hivyo hivyo! Siasa za bongo ni uozo mtupu,hakuna nafuu! Si ccm,cdm,cuf,tlp wote ni njaa zinawasumbua! Natamani ushabiki wa siasa za nje ungeingia bongo! Ningevaa tshirts,kofia za democrats! Ningefuatilia vikao vyao na mienendo yao! Ningeomba uanachama! Ingekuwa inaruhusiwa ningeomba waanzishe tawi lao tanzania ili tuingie ikulu! Kama nilivyoitosa Simba sc na kuhamia The gunners, ningeitosa chadema na kuhamia Democrats!!wewe je?