Rev Fr KABOKA mchizi
Member
- Feb 20, 2012
- 93
- 11
Hi JF. Kwa nini inam"pain" boy anapofaham kidume ane"mtafuna" dada yake (sio mchumba/mume) lakini gals wapo confortable na wasichana wanaotafunwa na kaka zao..
Mchungaji hamnazo..
Bwana yesu asifiwe baba mchungaji!
dah chezea damu moja,mkuki kwa nguruwe kwa binadamu hapatoshi ati!
teh kweli aisee umejuaje
Ameeeen..
mbona kwangu ni tofauti kaka zangu wanampena sn mme wangu rejao hawana hayo mambo!
Kweli wachungaji wa siku hizi ni machizi ..duh
Hi JF. Kwa nini inam"pain" boy anapofaham kidume ane"mtafuna" dada yake (sio mchumba/mume) lakini gals wapo confortable na wasichana wanaotafunwa na kaka zao..
Kweli wachungaji wa siku hizi ni machizi ..duh
kwanza kbs anaemg`oa sista hutakiwi kucheka nae......
tengeneza picha za game then copy and paste ni sista............
kumbuka mjomba ni mama so jamaa akipiga bambi its like anakubutua na ww........
Tofauti kati ya kuingiza na kuingiziwa ni nini?