Quastion mark
Member
- Oct 18, 2012
- 48
- 4
Jamani wana jf mie mgeni we2 toka Arusha (chuga) nipokeeni waungwana...
Jamani wana jf mie mgeni we2 toka Arusha (chuga) nipokeeni waungwana...
asante kwa kunikarbisha mwanachama mwenzako..me ni ke kwan ni gan!..Karibu sana.. Mie mwenyewe ni wajana.. Cjui we ni me o ke'
asante sana mkubwa.
asante sana kwa taarifa na pia nashukuru kwa kunipokea.TISS Mnaingia kwa fujo sana na tuna idara yetu ya kiintelijensia imeshatoa taarifa. Hapa kuna harufu ya polisi jamii wa kukodiwa. COPY Mzee wa Rula, PakaJimmy, Ericb52, @Preata, black Womani, LiverpoolFC tuwataarifu wengine wa hapa mkoani.
Quastion-mark...!
NILIJUA INGEKUWA INGEKUWA QUESTION MARK!
By the way, karibu sana Arusha, kuna kundi kubwa sana la wanaJF, na wako FRIENDLY vibaya mno!
Nakukaribisha sana Quastion mark kama kweli uko Arusha!Jamani wana jf mie mgeni we2 toka Arusha (chuga) nipokeeni waungwana...
asante sana namim naingia kwa miguu miwili..shukran sanaNamimi nilifikiri ni Question Mark, lakini amesomeka. Tunamkarisha kwa mikono miwili!!!!
asante sana nimekarbia mkubwa.Wakaribishwa..
Asante sana globu.Karibu sana.
Asante sana Erickb52 me Arusha ndo ninakotokea tupo pamoja sana..shukran.Nakukaribisha sana Quastion mark kama kweli uko Arusha!
Asante sana nimekarbia.Karibu sana JF.