Millard Ayo vs B 12

b12 wakat anapatkana nlkuwepo pale bilcanass

B12 Dar kaja kwa barua ya mwenyekiti wa kijiji,
Sikia B12 katokea Arusha moja kwa moja fresh frm skul na kuanza kutangaza Clouds Arusha baadae ndo akaja Dar..

Toa udhibitisho B12 alishiriki search Billicanas mwaka gani?
Washiriki wenzake ni kina nani?

Acha kukariri, pia acha story uliyoickia kujifanya ulikuwepo
 
si kweli...b 12 alianza tasnia ya utangazaji akiwa arusha chini ya kapten gadner g habash aliekuwa mkurugenzi katika kituo cha matangazo ya kibiashara cha clouds. kapten ndiye aliemintroduce # kumi nambili kwenye ramani ya utangazaji

Natamani kukugongea like, sema natumia simu
Wengine wanadandia tu, hawajui hata!
 
haya ni majembe Tanzania kwenye tasnia ya uandishi wa habar ...je unampa nan shavu kat yao???

ungeniuliza kati ya b12 na Mchomvu nani zaid ningekupa jibu fasta,ila B12 vs Ayo ngoja niishie kupita tu coz utatra
 
hapo ni sawa na kumshndanisha mr bluu na fid q wanafanya mambo tofauti labda adam na b12 au gerald na millard
 
Okey, Hawa wote watangazaji...

Lakini Millady ana Credits zaidi ni vile alivolelewa kimisingi ya Kiutangazaji Pale ITV/RaDioOne

B12 anakubalika zaidi ni vile tu amejisha Brand na Kipindi chake ndio best pale Clouds fm

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
B12 Dar kaja kwa barua ya mwenyekiti wa kijiji,
Sikia B12 katokea Arusha moja kwa moja fresh frm skul na kuanza kutangaza Clouds Arusha baadae ndo akaja Dar..

Toa udhibitisho B12 alishiriki search Billicanas mwaka gani?
Washiriki wenzake ni kina nani?


Acha kukariri, pia acha story uliyoickia kujifanya ulikuwepo

kumbe wote ni kutoka A-twn, basi wote ni-majembe..
 
Back
Top Bottom