LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 516
Ndugu wanaJf,
Nimekuwa najuliza kwa muda sasa kuhusu hii mikunjo ya usoni, wengine huita cheni au X, chanzo chake ni nini?
Huwezi kuikuta kwa watoto wadongo, ila kwa vijana na watu wa umri zaidi ya hapo. Kuna baadhi wanayo mingi tena iliyo 'horizontal' na wengine 'vertical'. Nini chanzo chake?
Nimekuwa najuliza kwa muda sasa kuhusu hii mikunjo ya usoni, wengine huita cheni au X, chanzo chake ni nini?
Huwezi kuikuta kwa watoto wadongo, ila kwa vijana na watu wa umri zaidi ya hapo. Kuna baadhi wanayo mingi tena iliyo 'horizontal' na wengine 'vertical'. Nini chanzo chake?