Postal bank
hvi kama mshahara wangu kabla ya makato ni 575000 wanaweza wanpe mkopo wa juu wa sh. Ngapi
mkuu ulifanikiwa kupata mkopo?Habari wana JF,
Naomba msaada kujua ni bank gani ambayo ina mikopo mizuri kwa ajili ya kujenga nyumba ya kawaida kabisa ambayo riba yake ni ndogo.
Inaweza kuwa bank au Agency ya mikopo.
Ahsanteni!
hapanamkuu ulifanikiwa kupata mkopo?
Usikope utaumia jombaa12M nmb unapata hizo
ahsante kwa ushauriUsikope utaumia jombaa
Mie nisingemshauri mtu akope ili ajiongezee liability zaidi kwa kukaa kwenye nyumba ambayo haimuingizii kipato...
Ningekushauri kama kukopa chukua kwa ajili ya kuendelezea biashara afu faida utakayopata kwenye biashara ujengee taratibu
kweli kabisaNakubaliana na wewe kabisa mkuu, tatizo tunztofautiana sana, sio kila mtu ni mzuri kwenye biashara. Kuna mtu akipewaa 15M leo ukija ndani ya miezi 6 huenda ukamkuta hana hata senti, na kuna mwingine mpe 1M tu ndani ya mwaka hautaamini anavyoizungusha.
Sasa kwa kua vipato vinatofautiana na hatuwezi kufanya biashara, kuna watu ni afadhali kile kidogo wanachokipata wakielekeze kwenye kitu cha maana japo ujenzi wa aina hii unakua wa kusuasua sana kutokana na ufinyu wa bajeti.
Hoja yako ya kukopa ili uzalishe ina mashiko kama unauwezo, uzoefu na fursa za biashara zipo.