Futota
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 521
- 87
Hivi kwa bongo hii mikataba huwa ipo? kama ndio huwa inatumika katika kesi za kugawana mali wakati wa kuachana (divorce)?
Kwa sababu kama mwanamke aliolewa na urithi wake wa let say, nyumba zenye hati, sasa akiachana na mumewe, halafu mumewe akataka wagawane na hizo mali zake pia. kesi kama hii mwanamke utafanya nini, maana sijawahi kusikia haya mambo ya prenuptial bongo.
Kwa sababu kama mwanamke aliolewa na urithi wake wa let say, nyumba zenye hati, sasa akiachana na mumewe, halafu mumewe akataka wagawane na hizo mali zake pia. kesi kama hii mwanamke utafanya nini, maana sijawahi kusikia haya mambo ya prenuptial bongo.