Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mwanadamu ni kiumbe mbishi sana hata kama MUNGU angetuumba sote tuwe waarabu bado mngekuja na hoja ya kusema kwanini Mungu katuumba sote ni waarabu kwa nini asingetutofautisha. Ni sawa na watu wa Mussa walipokuwa wakiteremshiwa chakula kutoka mbinguni cha Manna na salwa....walipokuwa wakila na kushiba wakaanza kuhoji kwanini kila siku tunakula manna na salwa tu...kwanini Mungu asituache tukaenda kulima mazao mbalimbali huko mashambani!? Matokeo yake Mungu alisitisha ile ofa aliyokuwa akiwapa ya kula chakula bure pasi na kukitolea jasho na wakaachwa wakasulubike huko mashambani.
Mkuu tunachohoji ni mikanganyiko katika kitabu cha biblia, jaribu kupitia hiyo mistari michache hapo juu yaani sehemu Moja anasema hivi sehemu ya pili anasema hivi.

Karibu.
 
Sijauona huo mkanganyiko unaousema, mtu umeamka unapumua na umeshiba vizuri unaanza kumjadili Mungu
Mkuu Daudi1,
Kwenye pasaka mungu anawaambia wana wa israeli wapake damu katika vizingiti ili apate kufahamu sehemu waliyomo. embu tuondee mihemko.

Alishindwa kutambua sehemu walizopo na wakati anadai yeye yuko kila mahali?
 
Alishindwaje kutuumba sote waarabu...tayari unampangia Mungu afanye nini!? Unasahau kuwa Mungu hapangiwi afanye nini ila anatenda mambo kwa matakwa yake.


ALLAH anakujibu tena kupitia Quran

Hud 11:118

وَلَوْ شَآءَ رَبُّكَ لَجَعَلَ ٱلنَّاسَ أُمَّةً وَٰحِدَةًۖ وَلَا يَزَالُونَ مُخْتَلِفِينَ

English -

And if your Lord had willed, He could have made mankind one community; but they will not cease to differ,

Swahili -

Na Mola wako Mlezi angeli penda ange wafanya watu wote wakawa umma mmoja. Lakini hawaachi kukhitalifiana,


Quran 10:99-100
Angeli taka Mola wako Mlezi wangeli amini wote waliomo katika ardhi. Je, wewe utawalazimisha watu kwa nguvu mpaka wawe Waumini?

Na hawezi mtu kuamini ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Naye hujaalia adhabu iwafike wasio tumia akili zao."
Swali langu ni kwamba Mungu/Allah alikosea kumuumba shetani au alimuumba makusudi ili atutese watu aliotuumba???

Zingatia Mungu/Allah anajua kila kitu au labda uniambie kuna vitu Mungu/Allah hajui kama Sisi binadamu akajikuta anaumba malaika baadae akabadilika bila matarajio ya Mungu/Allah akageuka na kuwa shetani???
 
ALLAH hakushindwa kutuumba wanadamu wote tukawa ni weusi tupu, ama weupe tupu au wa njano tu....ila anatuarifu kuwa lengo la kututofautiaha makabila ,lugha n k ni kwa manufaa yetu wenyewe wanadamu ili tupate kutambuana sisi kwa sisi. Na hakuna mbora kati yetu sisi isipokuwa yule anayemcha zaidi Mola.

Mweupe sio bora kuliko mweusi wala mweusi sio bora kuliko mweupe isipokuwa tu kwa yule anayemcha zaidi Mola wake. Uchamungu ndio kipimo cha ubora mbele ya Mungu.
Hivi kwanini Mungu/Allah aliumba watu ambao baadae anaenda kuwachoma Moto mukusudi?????, halafu Mungu/Allah kwanini mbaguzi sana anaumba watu wengine maalumu wa kwenda kula bata na mabikira peponi na wengine kawaumba kwa ajili ya kuwachoma Moto????
 
Swali langu ni kwamba Mungu/Allah alikosea kumuumba shetani au alimuumba makusudi ili atutese watu aliotuumba???

Zingatia Mungu/Allah anajua kila kitu au labda uniambie kuna vitu Mungu/Allah hajui kama Sisi binadamu akajikuta anaumba malaika baadae akabadilika bila matarajio ya Mungu/Allah akageuka na kuwa shetani???
Kwanza shetani sio malaika !

ALLAH ametuhabarisha katika Quran juu ya asili ya Iblis.

Al-Kahf 18:50

وَإِذْ قُلْنَا لِلْمَلَٰٓئِكَةِ ٱسْجُدُوا۟ لِءَادَمَ فَسَجَدُوٓا۟ إِلَّآ إِبْلِيسَ كَانَ مِنَ ٱلْجِنِّ فَفَسَقَ عَنْ أَمْرِ رَبِّهِۦٓۗ أَفَتَتَّخِذُونَهُۥ وَذُرِّيَّتَهُۥٓ أَوْلِيَآءَ مِن دُونِى وَهُمْ لَكُمْ عَدُوٌّۢۚ بِئْسَ لِلظَّٰلِمِينَ بَدَلًا

English - Sahih International

And [mention] when We said to the angels, "Prostrate to Adam," and they prostrated, except for Iblees. He was of the jinn and departed from [i.e., disobeyed] the command of his Lord. Then will you take him and his descendants as allies other than Me while they are enemies to you? Wretched it is for the wrongdoers as an exchange.

Swahili -

Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu.
 
Mkuu Daudi1,
Kwenye pasaka mungu anawaambia wana wa israeli wapake damu katika vizingiti ili apate kufahamu sehemu waliyomo. embu tuondee mihemko.

Alishindwa kutambua sehemu walizopo na wakati anadai yeye yuko kila mahali?
Hilo ni agano la Kwanza la damu analofanya na wanawaizrael, ndio maana akasema watalikumbuka miaka yao yote, maana yake pia ambaye asingefanya Kama maagizo ya Mungu angekuwa nje ya agano, ukitaka kujua ni agano angalia namna walivyooelekezwa kula hiyo nyama ambayo damu yake ilifanyika kuwa agano. Hamna contradiction hapo
 
Shibe inayopatikana kwa shida sanaaaa au kwa wepesi sanaaaa, au njaa kali sanaa au shibe inayokosa kazi huleta matokeo kama haya tunayoyaona kwa mleta mada.

Aidha ulikua umevimbiwa
Au njaa imekukamata vya kutosha
Au michongo yako imekwama sana
Au michongo yako ni rahis sana

NDIO MAANA UKAANDIKA KITU KAMA HIKI
Weka Mbali Na Hayo Yote Mbona Mikanganyiko Inaonekana Iko Wazi Na Hajabadili Maandiko Au Wewe Ndo Utakuwa Una Njaa Huelewi.
 
Sasa hizo shida anazileta mungu au binadamu ndo tunazileta kwa mikono yetu?
Kamleta Mungu/Allah maana kila kitu kinachotikea duniani basi ni Kwa amri yake,
Kwa kuwa Mungu/Allah hakupanga tundu lissu are kwa risasi na hakufa hata baada ya kupigwa risasi 38, ila kama Mungu/Allah akipanga ufe risasi moja Tu ilitosha,

Kwa hiyo tunaona mratibu mkuu wa kila tukio linalotoke duniani ni mipango ya Allah/Mungu
 
Hilo ni agano la Kwanza la damu analofanya na wanawaizrael, ndio maana akasema watalikumbuka miaka yao yote, maana yake pia ambaye asingefanya Kama maagizo ya Mungu angekuwa nje ya agano, ukitaka kujua ni agano angalia namna walivyooelekezwa kula hiyo nyama ambayo damu yake ilifanyika kuwa agano. Hamna contradiction hapo
Asante mkuu,
Hilo ni agano la kwanza alilolifanya na wana wa izraeli! Agano hilo wanalikumbuka kwa namba gani mpaka sasa?

Mungu huyo anakataza uzinzi, na anasema mimi si mwanadamu hata nibadili neno langu wakati hapo hapo mungu huyo anazo sifa zote za kibinadamu.

Baadae tena mungu huyo huyo anamuagiza Hosea akajitwalie mke wa uzinzi, unamtetea vipi katika hilo.

Contradiction zipo nyingi.
Karibu mkuu.
 
Kwanza shetani sio malaika !

ALLAH ametuhabarisha katika Quran juu ya asili ya Iblis.

Al-Kahf 18:50

وَإِذْ قُلْنَا لِلْمَلَٰٓئِكَةِ ٱسْجُدُوا۟ لِءَادَمَ فَسَجَدُوٓا۟ إِلَّآ إِبْلِيسَ كَانَ مِنَ ٱلْجِنِّ فَفَسَقَ عَنْ أَمْرِ رَبِّهِۦٓۗ أَفَتَتَّخِذُونَهُۥ وَذُرِّيَّتَهُۥٓ أَوْلِيَآءَ مِن دُونِى وَهُمْ لَكُمْ عَدُوٌّۢۚ بِئْسَ لِلظَّٰلِمِينَ بَدَلًا

English - Sahih International

And [mention] when We said to the angels, "Prostrate to Adam," and they prostrated, except for Iblees. He was of the jinn and departed from [i.e., disobeyed] the command of his Lord. Then will you take him and his descendants as allies other than Me while they are enemies to you? Wretched it is for the wrongdoers as an exchange.

Swahili -

Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu.
Majini, ibilisi waliumbwa na Nani???
Au na yenyewe Yana sifa kama ya Mungu/Allah kuwa hayakuzaliwa wala kuumbwa ????
 
Kamleta Mungu/Allah maana kila kitu kinachotikea duniani basi ni Kwa amri yake,
Kwa kuwa Mungu/Allah hakupanga tundu lissu are kwa risasi na hakufa hata baada ya kupigwa risasi 38, ila kama Mungu/Allah akipanga ufe risasi moja Tu ilitosha,

Kwa hiyo tunaona mratibu mkuu wa kila tukio linalotoke duniani ni mipango ya Allah/Mungu
Mungu ana elimu na mambo yote yanayotokea ulimwenguni, Kila kitu kinachotokea kilishapangwa kiwe kabla ya kuumbwa kwa hii dunia .

Mungu ameumba mwanadamu kisha akambainishia njia zote, njema na ovu kisha akampa uhuru achague wapi anaelekea.
 
Tujadili Mikanganyiko Katika Biblia Kama Ilivyoletwa Na Mtoa Mada Ili Tupate Elimu Maana Mada Imehamia Kwenye Uwepo Wa Mungu Wa Mungu,kinachojadiliwa Hapa Ni Kitabu
 
Kwanza shetani sio malaika !

ALLAH ametuhabarisha katika Quran juu ya asili ya Iblis.

Al-Kahf 18:50

وَإِذْ قُلْنَا لِلْمَلَٰٓئِكَةِ ٱسْجُدُوا۟ لِءَادَمَ فَسَجَدُوٓا۟ إِلَّآ إِبْلِيسَ كَانَ مِنَ ٱلْجِنِّ فَفَسَقَ عَنْ أَمْرِ رَبِّهِۦٓۗ أَفَتَتَّخِذُونَهُۥ وَذُرِّيَّتَهُۥٓ أَوْلِيَآءَ مِن دُونِى وَهُمْ لَكُمْ عَدُوٌّۢۚ بِئْسَ لِلظَّٰلِمِينَ بَدَلًا

English - Sahih International

And [mention] when We said to the angels, "Prostrate to Adam," and they prostrated, except for Iblees. He was of the jinn and departed from [i.e., disobeyed] the command of his Lord. Then will you take him and his descendants as allies other than Me while they are enemies to you? Wretched it is for the wrongdoers as an exchange.

Swahili -

Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu.
Je Mungu/Allah anawaumba majini, shetani na ibilisi alikuwa hajui kuwa watakuja kumuasi????

Yaani nataka kujua kama uinjinia wa Mungu/Allah ulishindwa kujua kuwa kuwaumba mashetani,ibilisi na majini kuwa yatakuja kumuasi
 
Back
Top Bottom