Kumbe we fisi umebadili ID baada ya kulambwa BANKulazimishwaje Sasa? Mwananchi wa kawaida wa Dar amenufaikaje na kuitwa Jiji? Maana huko ndiko uswazi na Mafuriko yamejaa Kila siku
Jibu swali usitafute kichaka Cha kujificha..A' ukute nabishana na mtu wa Kamsamba huko yeye kasimuliwa na shemeji yake aliifika Tunduma tu! Ninapoteza mdaa. Utake usitake Kahama ni next level!
Hiyo Tunduma linganisha na Singida au Makambako hukooo.
Acha ujinga wewe poyoyo,hiyo 450,000 umeitoa wapi? Mbeya pekee Ina zaidi ya hao watuDodoma jiji ina watu 450,000
Arusha, Mbeya, hazipaswi kuwa majiji
Nikajua umejibu hoja kumbe umeendeleza maujinga Yako ya Siku zoteKumbe we fisi umebadili ID baada ya kulambwa BAN
Sawa fisi jikeNikajua umejibu hoja kumbe umeendeleza maujinga Yako ya Siku zote
Ifike KIPINDI kwa kweliNchiyetu ni kubwa sana na ina miji mingi, lakini miji yenye huduma za hadhi ya jiji ni michache kulinganisha na idad ya watu waliopo.
Mfano Kanda ya Ziwa nikubwa na ina watu wengi lakini jiji ni moja tu Mwanza, inabidi Bukoba iandaliwe kuwa jiji kwa selikali kupeleka huduma za hali ya juu kama vyuo vikuu, viwanda, hospital, na kupima na kupanga mji mpya wa kisasa kama inavyofanyika Magufuli City Dodoma, ilituwe na miji ya kisasa inayovutia na kukidhi mahitaji ya wananchi.
Halikadhalika yafanyike miji ya Morogoro, Mtwara, Songea, Kigoma, Moshi, Sumbawanga na Kahama, pamoja na miji yenye idadi kubwa ya watu. Miji ipangwe na ijengwe kisasa atilist kila kanda tuwe na majiji walau mawili.
Hii itasaidia sana kueneza maendeleo makubwa katika pembe zote za nchi, na itapunguza watu kukimbilia Dar es Salaam, Mwanza, Dodoma na Arusha. Hivyo selikali itahudumia watu kirahisi wakiwa hukohuko kwenye miji yao.
Yangu Uhuru watu Wana waza dar
Jitahidi utembee mini mingi zaidiBukoba mbona ishaanza kuandaliwa...kuna vyuo vikuu viwili vinajengwa UDSM tawi la bukoba na campus ya chuo cha Mandela....na hapo juzi kumefunguliwa chuo cha veta...
Jana wamefungua taa za kuongoza magari na zile za kuwasha mwanga...
Tender zimetangazwa za ujenzi wa stendi kuu na soko mwezi march ujenzi wa stendi unaanza...
Meli mv mwanza na mv Victoria zinaenda bukoba na mambo kibao tu
Kwan musoma kuna uwanja wa ndege? Kuna uwanja wa mpira wa nyasi bandia na wenye taa za usiku kama kaitaba, musoma kuna bandari yoyote inayofunction kama zile mbili za bukoba na kemondo, Angalia idadi ya majengo kati ya musoma na bukoba...musoma wanafeli wapi...musoma kuna chuo kikuu chochote kinachojengwa?Yani Bukoba kulikua hakuna mataa ya kuongozea magari mpaka leo?
Inazidiwa mpaka na Musoma?
I cant wait to be the first Mayor of Ifakara City Council.Nchiyetu ni kubwa sana na ina miji mingi, lakini miji yenye huduma za hadhi ya jiji ni michache kulinganisha na idad ya watu waliopo.
Mfano Kanda ya Ziwa nikubwa na ina watu wengi lakini jiji ni moja tu Mwanza, inabidi Bukoba iandaliwe kuwa jiji kwa selikali kupeleka huduma za hali ya juu kama vyuo vikuu, viwanda, hospital, na kupima na kupanga mji mpya wa kisasa kama inavyofanyika Magufuli City Dodoma, ilituwe na miji ya kisasa inayovutia na kukidhi mahitaji ya wananchi.
Halikadhalika yafanyike miji ya Morogoro, Mtwara, Songea, Kigoma, Moshi, Sumbawanga na Kahama, pamoja na miji yenye idadi kubwa ya watu. Miji ipangwe na ijengwe kisasa atilist kila kanda tuwe na majiji walau mawili.
Hii itasaidia sana kueneza maendeleo makubwa katika pembe zote za nchi, na itapunguza watu kukimbilia Dar es Salaam, Mwanza, Dodoma na Arusha. Hivyo selikali itahudumia watu kirahisi wakiwa hukohuko kwenye miji yao.
Akili zako kisoda chenye mkojo, unadhani Congo ni pale Goma na Kivu kaskazini.Sidhan kama watu wa Moshi wanapendelea kuwa Jiji. Wao wanchofanya ni kwenda kushika fursa za wajinga wanaofurahia miji yao kuitwa majiji huku wakiwa hawana kitu wanaangalia nyumba na miradi ya wanaume tu ikiendelea.
Kama nchi ya Congo tu. Unafurahia kuwa una nchi tajir lakin utajir wote unachukuliwa na wanaume. Mnabaki kucheza mduara tu. Akili za kiafrica hiz bure kabisa.
Binafsi sipendekezi iwe hivyo bali natamn kila kanda iwe na jiji moja la kisasa kisha sehem zingine ziwe mahsus kwa uzalishaji hasa kilimo na ufugajiNchiyetu ni kubwa sana na ina miji mingi, lakini miji yenye huduma za hadhi ya jiji ni michache kulinganisha na idad ya watu waliopo.
Mfano Kanda ya Ziwa nikubwa na ina watu wengi lakini jiji ni moja tu Mwanza, inabidi Bukoba iandaliwe kuwa jiji kwa selikali kupeleka huduma za hali ya juu kama vyuo vikuu, viwanda, hospital, na kupima na kupanga mji mpya wa kisasa kama inavyofanyika Magufuli City Dodoma, ilituwe na miji ya kisasa inayovutia na kukidhi mahitaji ya wananchi.
Halikadhalika yafanyike miji ya Morogoro, Mtwara, Songea, Kigoma, Moshi, Sumbawanga na Kahama, pamoja na miji yenye idadi kubwa ya watu. Miji ipangwe na ijengwe kisasa atilist kila kanda tuwe na majiji walau mawili.
Hii itasaidia sana kueneza maendeleo makubwa katika pembe zote za nchi, na itapunguza watu kukimbilia Dar es Salaam, Mwanza, Dodoma na Arusha. Hivyo selikali itahudumia watu kirahisi wakiwa hukohuko kwenye miji yao.
Hata kuandika hujui...ndo maana unafikiri stendi nzr ndo kuwa mji...kwan Arusha kuna stendi gani pale pamoja na kuwa jiji...vip Nairobi? Ushawahi ona stendi ya maana kule zaidi ya magari kupaki barabarani...je Nairobi ivuliwe hadhi ya jiji....Bukoba nakupinga,hawana hata dtandt ya kueleweka bora shy town kwa kanda ya ziwa
Jitahidi ujifunze kuandika kiswahili....Jitahidi utembee mini mingi zaidi
Katika africa kama nimebakisha nchi sijakanyaga hazizid 10. Hiv ninavyoongea hapa nipo Windhoek Chief. Congo kama congo nyama karibu yote ipo mashariki yaan North Kivu na south mpaka Bukavu na jimbo la Katanga na wajanja wa Congo ni wakasai nina duka Lubumbashi mimi so naelewa ninachoongea ukitaka nikufungukie zaid njoo inbobo. Nilichokuwa nijaribu kumuelewesha huyo kijana anatakiwa ajue Jiji kuitwa Jiji hakumnufaish kwa chochote kama yeye asipoendana na mdundo. Kukaa hapo na kusema wachagga cjui ni wachawi cjui matapeli hakuwazuii kuendelea. Ni kama wamalay walikuwa watu wa stor wachina wakachukua fursa zote mpaka serikali ikakaa nao ndio kukawepo mwanya wa kupenya. Au wazulu story nyingi kaz hawafany anatoka mwafrica mmoja hapa akiendelea analalamika wamekuja kuchukua kaz zetu.Akili zako kisoda chenye mkojo, unadhani Congo ni pale Goma na Kivu kaskazini.
Tembea uone dogolas
Wa DAR ni WAPUMBAVUMwananchi wa kawaida wa Dar ni sawa na mwananchi wa kawaida wa Dodoma kwa mtazamo wako?
Percentage sio quantity,kwanza Waziri wa Sasa ameacha kutoa hizo maujinga