Hivi wana JF katika mihimili mitatu ya dola iliyopo..... yaani the sovereignty of the executive, parliament and judiciary (bunge, mahakama na serikali) muhimili upi unapinga mawazo ya katiba mpya? na kwa maslahi yapi?..... Werema kama jaji, mwanasheria mkuu na mbunge yupo katika kundi lipi la mihimili hii mitatu?