spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GreatThinkers,
Kwa mujibu wa duru za uhakika, wataalamu wengi wazalendo wameendelea kuacha kazi migodini hii inatokana na sera chafu za Unyang'anyi za serikali ya CCM kuwa hakuna kuchukua NSSF hadi ufike miaka ya kustaafu. Sheria iko mbioni kuanza kufanya kazi mwaka huu.
Taarifa nilizozipata mpaka sasa ni kama ifuatavyo.
NorthMara-43 Geita-86 Buzwagi-33. TBL Mwanza 4, SBL Mwanza-6 hii record ni kuanzia Jumatatu wiki hii.
Kwa nini wanaresign?
Kwa mujibu wa duru za uhakika, wataalamu wengi wazalendo wameendelea kuacha kazi migodini hii inatokana na sera chafu za Unyang'anyi za serikali ya CCM kuwa hakuna kuchukua NSSF hadi ufike miaka ya kustaafu. Sheria iko mbioni kuanza kufanya kazi mwaka huu.
Taarifa nilizozipata mpaka sasa ni kama ifuatavyo.
NorthMara-43 Geita-86 Buzwagi-33. TBL Mwanza 4, SBL Mwanza-6 hii record ni kuanzia Jumatatu wiki hii.
Kwa nini wanaresign?
- Hawataki kunyanyasika kama wastaafu wa Afrika Mashariki wanavyohangaishwa
- Inawezekana pesa zao zikaibiwa na waezi wao wakakimbia nchi na kuwa raia wa nchi zingine kama ilivyotokea kwa baadhi ya wezi waliozushiwa kufa wakati wanakula bata Boston
- Ni afadhari wale jasho lao, kwani wakichua hela zao na kujenga nyumba wakapangisha wataishi hata bila mafao toka NSSF
- Inflation ya kutisha
- Hakuna dalili za watu kuogopa au kuacha kuiba mali ya umma
- nk