Miaka inavyozidi kusonga ndivyo waafrika wanazidi kuwa wapumbavu

Mahayawani wanajaza matumbo yao na ya uzao wao hapo unategemea nn
Kila mwaka mambo ni yaleyale tena yakisimama mbele ya hadhira yanajipongeza
 
Ki ukweli, ni shida sana tena sana.
Misri wanatumia maji ya mto Nile ambao chanzo chake ni Ziwa Victoria, wakati huo sisi tumekaa kama wajinga fulani hivi.
Hata mimi huwa najiuliza, ni kwa nini Tanzania ina wasomi wengi mpaka sasa lakini sioni kama wanatusaidia kutatua changamoto zinazotukabili katika jamii. Inauma sana.
 
Du, umenikumbusha juzi tu hapo natembea kwa mguu kijiji Fulani ambacho kipo main road tu kwa mbaali naona kama kunakundi la watu na vitu vya rangi ya njano. Wakati huo kulikuwa na mtu ambaye alikuwa anatembea sambamba na Mimi lkn Kila mtu alikuwa bize na safari yake. Sasa kadri nilivyokuwa na karibia lile kundi la watu ndio nagundua walikuwa kwenye foleni ya kuchota maji na vile vitu vya njano nilivyokuwa naviona ilkuwa madumu ya maji. Kwa wastani palikuwa na watu wasiopungua 200 hv na madumu labda 1500. Nilijikuta nimesema mwenyewe hii nchi tunaonewa sana mpk yule mwenzangu niliyekuwa natembea nae sambamba akasikia na kujikuta tunaendelea mazungumzo. Yule mwenzangu akasema bro usione hvyo watu wapo hapo tokea saa 11 asubh na huenda wengine wakakosa maji kwa sababu ni ya mgao na huwezi amini ni zaidi ya mwezi mmoja ndio maji yametoka leo. Tulizidi kuongea mengi lkn nikagundua maji yalitekwa kutoka kwenye chanzo ambacho sio cha uhakika lakini nachojua umbali km kilometer 40 kunachanzo cha uhakika kabisa cha maji nikamuuliza mshikaji kwann wasingetua chanzo hicho cha uhakika cha maji, nilichojibiwa ilisemekana Kule n mbali so gharama ingekuwa kubwa kulinganisha na fedha waliyobajetiwa. Ghafla na pigwa na kitu kizito kichwa I( nasikia king'ora) ni msafara wa walamba asali 🤔🤔☹️☹️ aiseeeee ule msafara ulikuwa na gari kama 15 hv, nikajiuliza hapo ni mtu mmoja mlamba asali anasindikizwa alafu mamia ya watu wapo foleni ya maji tokea alfajiri. Tusichoke tutafika tu japo tukiwa hoi.
 
Ki ukweli, ni shida sana tena sana.
Misri wanatumia maji ya mto Nile ambao chanzo chake ni Ziwa Victoria, wakati huo sisi tumekaa kama wajinga fulani hivi.
Hata mimi huwa najiuliza, ni kwa nini Tanzania ina wasomi wengi mpaka sasa lakini sioni kama wanatusaidia kutatua changamoto zinazotukabili katika jamii. Inauma sana.
Wasomi wa vyeti
 
Inaboa na kukera sana. Ma watu yakishakaa kwny uongozi hapo ni kuwaza matumbo yao hakuna kiongozi aliekuja na mbinu mbadala za kutatua changomoto hata mmoja. Yani as if wamepewa vitini kama vya Nyambari Nyangwine wawe wanakariri miaka nenda miaka rudi
 
Hua namcheki Aweso akisimama anasema nani kama mama samia, wananchi wanaitikia hakunaaaa , wanasiasa wanawaaminisha wananchi kua Rais ni kila kitu, lakini wanasahau tunahitaji tafiti na mipango ya kweli hata ikiwa kwa awamu, kwanza Tanzania kutegemea kilimo cha mvua ndio tupate chakula ni kosa kubwa huku kuna ziwa victoria, Nyasa, Tanganyika, Eyasi, kwenye maziwa hayo pekee ilitakiwa tuwe na project kubwa za kilimo mwaka mzima, haya uvunaji wa maji ya mvua kila mwaka ilitakiwa yajengwe malambo makubwa vijijini huko miezi sita ya mvua maji yanavunwa na yanatunzwa yakuweza kutumika kipindi cha kiangazi chenye miezi mitano pia kwanza ingemaliza hata mafuriko ya mara kwa mara, lakini sijui wanawaza nini viongozi
 
Du, umenikumbusha juzi tu hapo natembea kwa mguu kijiji Fulani ambacho kipo main road tu kwa mbaali naona kama kunakundi la watu na vitu vya rangi ya njano. Wakati huo kulikuwa na mtu ambaye alikuwa anatembea sambamba na Mimi lkn Kila mtu alikuwa bize na safari yake. Sasa kadri nilivyokuwa na karibia lile kundi la watu ndio nagundua walikuwa kwenye foleni ya kuchota maji na vile vitu vya njano nilivyokuwa naviona ilkuwa madumu ya maji. Kwa wastani palikuwa na watu wasiopungua 200 hv na madumu labda 1500. Nilijikuta nimesema mwenyewe hii nchi tunaonewa sana mpk yule mwenzangu niliyekuwa natembea nae sambamba akasikia na kujikuta tunaendelea mazungumzo. Yule mwenzangu akasema bro usione hvyo watu wapo hapo tokea saa 11 asubh na huenda wengine wakakosa maji kwa sababu ni ya mgao na huwezi amini ni zaidi ya mwezi mmoja ndio maji yametoka leo. Tulizidi kuongea mengi lkn nikagundua maji yalitekwa kutoka kwenye chanzo ambacho sio cha uhakika lakini nachojua umbali km kilometer 40 kunachanzo cha uhakika kabisa cha maji nikamuuliza mshikaji kwann wasingetua chanzo hicho cha uhakika cha maji, nilichojibiwa ilisemekana Kule n mbali so gharama ingekuwa kubwa kulinganisha na fedha waliyobajetiwa. Ghafla na pigwa na kitu kizito kichwa I( nasikia king'ora) ni msafara wa walamba asali 🤔🤔☹️☹️ aiseeeee ule msafara ulikuwa na gari kama 15 hv, nikajiuliza hapo ni mtu mmoja mlamba asali anasindikizwa alafu mamia ya watu wapo foleni ya maji tokea alfajiri. Tusichoke tutafika tu japo tukiwa hoi.
Wacha mambo yawe magumu labda akili zitakuja. Kutwa kulalamika bila kuchukua hatua. Tena tukiishia kulalamika ndiowanafurahi ili waendelee kututawala vizuri
 
Na liraisi limekaa kimyaa siku hizi simpendi mama Samia

huyu mama ni mwanamke mwenzenu,kawaida ya mwanamke hutegenea sana backups ktk maamuzi.

shida ni backups alizonazo,na tulionya toka mwanzo lakini tukaonekana bata mtaro,wewe mtu katemwa na jpm na ukali wote uke akakutii wewe mwanamama na upole huo!!!

IMG_1525.jpg
 
Haya leo unasema vijana hawana ajira ni sawa lakini weka programme maalumu kwa vijana walio na akili yaani kilimo cha umwagiliaji ndio unashikilia hapo, na mnazalisha mazao ya chakula kiasi nchi nyingine wanaanza kusubiri mvua ninyi mnavuna na mnateknolojia ya kukausha mazao yenu na kuuza nje kipindi hicho ndio cha pesa, yaani kuna muda unawaza unaona tunatatizo maana kabla mtu hajapata uongozi anakua na akili anaongea ya maana, akipata zinaruka zinarudi akishastaafu,
 
Katibu mkuu, naibu wake, waziri aweso, naibu wake

H.E SSH ondoa hao wendawazimu wanakuangusha hawana ushauri wowote zaidi ya kukupunguzia imani kwa raia unaowaongoza
 
Nisikuchoshe na usinichoshe,tusichoshane.

Huwa ninajaribu kuitazama Afrika(Bara)na watu waishio humo ndani hasa ngozi nyeusi nabaki kupata sintofahamu! Mimi ni mkristo na nina amini ya kwamba Mwanadamu ameumbwa na Mungu. Sasa huwa napata taabu sana kuona kwanini sisi waafrika tupo tofauti na jamii nyingine hasa weupe!. Utofauti ninao usema hapa ni kuhusu - MAAMUZI, AKILI, UTENDAJI na UTEKELEZAJI WA MAMBO.

Leo nitajikita zaidi kwa jamii hii ya watu weusi wapatikanao Tanzania.

Kadiri miaka inavyozidi kusogea na teknolojia ikiongezeka kwa kasi,ndivyo jamii hii ya watu weusi wakaao Tanzania ni kama AKILI nazo zinazidi kupungua kwenye vichwa vya watu!.

Dubai ni nchi ndogo sana ambayo ni muunganiko wa zile nchi zinazounda jumuia ya falme za kiarabu (Emirates), kiasili Dubai ni Jangwa lakini wanamaji ya uhakika masaa 24, siku 7, miezi 12 na miaka yote!

Naomba hapa niongeze sauti ili walioko baki bencha wasikie vizuri!.

"Dubai kiasili ni jangwa lakini wao kuhusu tatizo la maji wamebaki kulisoma kwenye vitabu na kuliona kwenye taarifa za habari ambazo nyingi huwa zinahusu Afrika"

Tanzania ambayo inakila kitu cha asili na iliyozungukwa na Maziwa makubwa,mito mikubwa,bahari na mabwawa ya kila aina lakini bado wananchi wake wanaendelea kuteseka kuhusu maji.

Hii ngozi sijajua aliyetuachia laana ambayo haifutiki milele zote ni nani! Je ni kwamba hatuna akili? Hili mbona kama nalikataa! Hivi ndugu zangu ni kweli hatuna akili? Ni kitu gani kinachotusumbua sisi ngozi nyeusi?.

Sasa kila mmoja wetu hapa anafahamu kwasasa jiji la Dar es salaam na viunga vyake kuna mgao mkubwa wa maji na umeme, nadhani kwasasa siyo Dar es salaam pekee bila shaka ni nchi nzima!.

Dunia ya leo ya Sayansi na Teknolojia eti tunategemea maji ya mto Ruvu ndiyo yanyweshe mamilioni ya wakaazi wa Dar es salaam, hivi kweli tuko serious? Hivi ni nani aliyeturoga? Hivi tumemkosea nini Mungu mpaka kutuadhibu kiasi hiki? yaani Dubai ambayo iko jangwani wanapata maji kwa uhakika lakini siye tuliozungukwa na kila aina ya maji tunakosa maji?

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam bil hata kuona haya na aibu anakaa kabisa mbele ya watu anasema ndugu zangu "Tumuombe Mungu ili mvua zinyeshe!"

Aisee hadi nashindwa kuandika!.

Kwani wale waarabu waliweza vipi kubadili yale maji chumvi kuwa maji ya matumizi ya kawaida? gharama yake ni kubwa kiasi gani hadi sisi kama taifa tushindwe kuafodi? ina maana akili za viongozi wetu ndiyo zimefika mwisho!

Leo Karne ya 21 maji tu ni shida kwenye jiji kubwa kama Dar es salaam, je huko vijijini hali ikoje?

Wenzetu kadiri miaka inavyosonga wanapanuka kiakili lakini sisi ngozi nyeusi pamoja na kwenda shule ndiyo kama akili zinarudi nyuma!.

Tanzania ni mfano tu lakini nchi karibia zote za kiafrika matatizo hufanana!

Aisee kiukweli nina mengi moyoni lakini ngoja niishie hapa, hata kuandika sasa imeniwia vigumu!
Upo sahihi mkuu,ngozi nyeusi popote alipo,hapa Afrika au diaspora,kichwani Kuna matatizo.
Bora hata Dar inakosa maji kisa mto ruvu maji yamepungua,Fikiria Mwanza,Kuna wilaya zipo Karibu na ziwa,eti unaambiwa Kuna shida ya maji!!akili za hovyo kabisa!!
Hapo utakuta pampu za kusukuma maji zimekufa,sasa Unajiuliza kwanini Miaka yote hawatumii pampu za mfumo wa solar?
Pale Dodoma,maji ni ya visima kutoka eneo la mzakwe!!Dodoma ni kame sana,lakini hakuna shida ya maji kama Dar,sasa Unajiuliza,kwanini hapa dar idara ya maji haijawahi kuwa na mkakati wa kuchimba maji ya visima kama backup,ni Swala la kuiga mfumo wa Dodoma tu,
Ukienda Tabora,visima,dam za maji na mfumo mzima ulijengwa na wajerumani miaka zaidi ya 100!iliyopita,mbongo hajaongeza chanzo chochote kingine Cha maji,zaidi ya kuongeza ukubwa wa pampu tu,sasa siku mji ukikuwa kama ilivyotokea Dodoma,utaambiwa mgawo wa maji!!
Kwanza wahandisi wa maji wa hizi idsra wapo pale kula mshahara tu,hawana hata propasal,andiko la njia mbadala ya kuondoa tatizo la maji!wanasiasa,wao wapo kupiga pesa tu,
Harafu Yule kenge RC wa Dar na mashavu yake kama mnywa gongo,anasema tuombe Mungu mvua inyeshe!!
 
Back
Top Bottom