Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Nikiwa nimefikisha miaka 42 ya umri tangu kuzaliwa, nikiwa nimezaliwa ktk nchi ya kimaskini kabisa, naendelea kupata tabu kuwa hali ya maisha ya mtanzania inashuka, japo kuwa mi nikiangalia hali yangu ni nzuri nikilinganisha na baba yangu japo kuwa kwa sasa ni marehemu. Lkn inabidi watanzania tujilaumu kwa kuweka madarakani wahuni ambao wameangusha uchumi wa nchi.
Pole wanajamii kwa kufikisha miaka 50 ya umaskini. Japo nimeshangaa Wizara mbalimbali zimetenga pesa nyingi za kusherehekea hiyo miaka ya umaskini!! si hizo pesa wangewalipia wadogo zetu wanao hangaika na pesa za chakula ambao wanacheleweshewa.
Tena nimepata habari kuwa wafanyakazi wa umma wamekatwa pesa bila taarifa. Hahahahaaaa nchi hii bwana.
MUNGU AWABARIKI SANA WANAJAMVI NA WKD NJEMA.
Pole wanajamii kwa kufikisha miaka 50 ya umaskini. Japo nimeshangaa Wizara mbalimbali zimetenga pesa nyingi za kusherehekea hiyo miaka ya umaskini!! si hizo pesa wangewalipia wadogo zetu wanao hangaika na pesa za chakula ambao wanacheleweshewa.
Tena nimepata habari kuwa wafanyakazi wa umma wamekatwa pesa bila taarifa. Hahahahaaaa nchi hii bwana.
MUNGU AWABARIKI SANA WANAJAMVI NA WKD NJEMA.