gizalucky
Member
- Aug 5, 2011
- 44
- 10
ndugu wadau kweli hii ni haki??
kusherehesha uhuru bilioni 64
kulipa posho za wabunge....ongezeko >100%
kukimbiza mwenge.....
kuendeleza shule.....
kuendeleza huduma za afya......
kulipa mishahara mizuri......
kulipa wastaafu mafao yao.......
je kipi ni priority in tanzania??
tafakari:lol:
kusherehesha uhuru bilioni 64
kulipa posho za wabunge....ongezeko >100%
kukimbiza mwenge.....
kuendeleza shule.....
kuendeleza huduma za afya......
kulipa mishahara mizuri......
kulipa wastaafu mafao yao.......
je kipi ni priority in tanzania??
tafakari:lol: