Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Inakera sana kusikia kwamba matayarisho ya siku moja ya kusherekea uhuru yatagharimu zaidi ya Tsh. Billioni 50, hela ambazo hatuna wakati hatuwezi kuwa na umeme wa uhakika. Tunapandishiwa gharama kwa 155% hivi hii serikali inafikiria nini? wananchi tusipoamka basi tunakwisha. huu ni upuuzi ambao hatuwezi kuuvumilia hawa viongozi ni washenzi kweli. Wanaume mkishindwa, siye wanawake tutaweza