kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,013
- 11,952
Muulize aliyeweka chati,au hujaona ila umeona post yangu tu?Rwanda inakuzidi nini wewe?
Muulize aliyeweka chati,au hujaona ila umeona post yangu tu?Rwanda inakuzidi nini wewe?
Nikajua utaweka miradi na mambo nmengine kumbe unaongea pumba tuu.
Nitajie fisadi hata mmja ambae aliwahi fungwa na Serikali ya Magufuli.
Samia amefunga bosi wa UDA,amemfunga DED mwisho wa Arusha wote hao walikuwa wezi na wanalelewa na Magufuli.
Amemshikisha Adabu Sabaya and the likes.
Mwisho kabisa Kwa miaka 3 ya Samia Mapato ya TRA yameongezeka kutoka 1.4T mwaka 2020/21 Hadi 2.2Tr mwaka 2023/2024.
Kiufupi Samia kaongeza bil 800 ndani ya miaka 3 wakati Mwendazake aliongeza Bilioni 500 tuu Kwa miaka 5.
Mpaka hapo ni sahihi kabisa kusema Samia ni mlima.na yulekurupukaji ni kichuguu.
View: https://www.instagram.com/p/C1h1XRQo_Dc/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Rais Samia ametimiza miaka 3 tangu achukue madaraka ya urais lakini ukilinganisha na miaka 3 ya hayati Magufuli akiwa madarakani ni kama mlima na kichuguu kwa matokeo.
Rais Samia amefanya semina nyingi kwa mawaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi na wakuu wa mikoa lakini bado utendaji wa serikali yake uko duni sana! Matokeo baada ya semina hizo hayaonekani kabisa.
Rushwa, uzembe, mfumuko wa bei, kupandisha gharama za miradi, kuchelewesha miradi imekuwa ndiyo sifa kuu ya serikali ya Rais Samia.
Hayati Magufuli alijenga majengo ya wizara na kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 3 lakini Rais Samia kwa miaka 3 hakuna jengo hata moja lililokamilika kiasi cha kuanza kukaliwa na watu. Kwenye serikali ya Samia hamna mradi hata mmoja ulioanzishwa unaoweza kusema kwamba angalau hapa Kuna watu walikaa na kutumia akili.
Rais Samia amefanya vizuri sana kwenye ujenzi wa madarasa kwa kutumia mkopo wa fedha za Uviko.
Raisi anaomba anaelekeza uliona wapi hata hizi ni dalili za kulea wajukuu na wakwe!Rais Samia ametimiza miaka 3 tangu achukue madaraka ya urais lakini ukilinganisha na miaka 3 ya hayati Magufuli akiwa madarakani ni kama mlima na kichuguu kwa matokeo.
Rais Samia amefanya semina nyingi kwa mawaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi na wakuu wa mikoa lakini bado utendaji wa serikali yake uko duni sana! Matokeo baada ya semina hizo hayaonekani kabisa.
Rushwa, uzembe, mfumuko wa bei, kupandisha gharama za miradi, kuchelewesha miradi imekuwa ndiyo sifa kuu ya serikali ya Rais Samia.
Hayati Magufuli alijenga majengo ya wizara na kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 3 lakini Rais Samia kwa miaka 3 hakuna jengo hata moja lililokamilika kiasi cha kuanza kukaliwa na watu. Kwenye serikali ya Samia hamna mradi hata mmoja ulioanzishwa unaoweza kusema kwamba angalau hapa Kuna watu walikaa na kutumia akili.
Rais Samia amefanya vizuri sana kwenye ujenzi wa madarasa kwa kutumia mkopo wa fedha za Uviko.
acha kubishana na mapuguani kama huyo. Yule Mzee alisimamisha ajira miaka 6 na akasimaimsha mishahara isipande miaka 6 eti ana miradi muhimu ambayo wengine hawezi, leo ajira zimefunguliwa, mishahara inapanda, boom lipo kwa wasomi na miradi yote aliyoacha hayati inaenda, na chadema pia ruksa kupiga kelele yule bwana yeye ndio rais eti mikutanoya ndani na nje vyama vingine marufuku. Huyu mama yuko vizuri mu kichwa mzigo aloachiwa ni mkubwa mno tusitegemee muujiza. Hizo pesa za ndani za miradi hazikonekana tangu tarehe 18/3. na kazi inaendelea.Umeshapita Busisi ukaona kazi zinavyofanyika?
Huyu Mama amepambana haswa Mzee aliacha mamiradi makubwa utafikiri nchi inaenda kutoweka soon, mega projects kibao na bado human capital inatakiwa kuendelezwa, ajira mpya,mishahara kupanda, vyeo etc.
Mama amepambana haswaa hakuna alichoanzisha Mzee kimesimama. Hapa wenye roho mbaya mtakwepa kuusema huu ukweli.
Vipi bwana; nina uhusiano gani kati ya Magufuli na Samia. Unanitafuta uchokozi?Rais Samia ametimiza miaka 3 tangu achukue madaraka ya urais lakini ukilinganisha na miaka 3 ya hayati Magufuli akiwa madarakani ni kama mlima na kichuguu kwa matokeo.
Rais Samia amefanya semina nyingi kwa mawaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi na wakuu wa mikoa lakini bado utendaji wa serikali yake uko duni sana! Matokeo baada ya semina hizo hayaonekani kabisa.
Rushwa, uzembe, mfumuko wa bei, kupandisha gharama za miradi, kuchelewesha miradi imekuwa ndiyo sifa kuu ya serikali ya Rais Samia.
Hayati Magufuli alijenga majengo ya wizara na kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 3 lakini Rais Samia kwa miaka 3 hakuna jengo hata moja lililokamilika kiasi cha kuanza kukaliwa na watu. Kwenye serikali ya Samia hamna mradi hata mmoja ulioanzishwa unaoweza kusema kwamba angalau hapa Kuna watu walikaa na kutumia akili.
Rais Samia amefanya vizuri sana kwenye ujenzi wa madarasa kwa kutumia mkopo wa fedha za Uviko.
Hiyo miaka mitatu rais Samia hajatimiza.Acha uongo.Rais Samia ametimiza miaka 3 tangu achukue madaraka ya urais lakini ukilinganisha na miaka 3 ya hayati Magufuli akiwa madarakani ni kama mlima na kichuguu kwa matokeo.
Rais Samia amefanya semina nyingi kwa mawaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi na wakuu wa mikoa lakini bado utendaji wa serikali yake uko duni sana! Matokeo baada ya semina hizo hayaonekani kabisa.
Rushwa, uzembe, mfumuko wa bei, kupandisha gharama za miradi, kuchelewesha miradi imekuwa ndiyo sifa kuu ya serikali ya Rais Samia.
Hayati Magufuli alijenga majengo ya wizara na kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 3 lakini Rais Samia kwa miaka 3 hakuna jengo hata moja lililokamilika kiasi cha kuanza kukaliwa na watu. Kwenye serikali ya Samia hamna mradi hata mmoja ulioanzishwa unaoweza kusema kwamba angalau hapa Kuna watu walikaa na kutumia akili.
Rais Samia amefanya vizuri sana kwenye ujenzi wa madarasa kwa kutumia mkopo wa fedha za Uviko.
Libya wako vitani kwa zaidi ya miaka 10 sasa, wanatuzidi kwenye ukuaji wa uchumi? Wangekuwa hawako vitani sasa ingekuwaje?Nijibu hapo, unaelewa maana ya hizo takwimu au unapayuka tuu?
Upuuzi,Jiwe aliwahi Wazidi?Libya wako vitani kwa zaidi ya miaka 10 sasa, wanatuzidi kwenye ukuaji wa uchumi? Wangekuwa hawako vitani sasa ingekuwaje?
Aibu yenu 😁😁😁😁Umeandika vizuri ukweli ni kwamba kwasasa hapa hakuna Rais zaidi ni bomu Tena la kienyeji.taarabu nyingi vitendo zero. Huwezi kupewa heshima na mungu ya kuongoza Watanzania halafu ukaishia kuwafilisi kwa kula starehe. Ondoka tuachie nchi yetu bana
Rais tuchague mwakani 2025,siku zote ukiweka watu tena wasio na akili ili wafanye kazi ya kuchafua kazi nzuri iliyofanywa na mtangulizi wako huwezi pata baraka yoyote,ndio wanachofanya akina Samia na wenzake kuharibu legacy ya magufuli,shida iko hapo badala ya kufanya kazi yako ionekane tunachoona ni kwambawatu hawafanyi kazi zaidi ya kufisadi fedha za UMMA kwa kasi iliyotukuka kwa mujibu wa CAG.Rais Samia ametimiza miaka 3 tangu achukue madaraka ya urais lakini ukilinganisha na miaka 3 ya hayati Magufuli akiwa madarakani ni kama mlima na kichuguu kwa matokeo.
Rais Samia amefanya semina nyingi kwa mawaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi na wakuu wa mikoa lakini bado utendaji wa serikali yake uko duni sana! Matokeo baada ya semina hizo hayaonekani kabisa.
Rushwa, uzembe, mfumuko wa bei, kupandisha gharama za miradi, kuchelewesha miradi imekuwa ndiyo sifa kuu ya serikali ya Rais Samia.
Hayati Magufuli alijenga majengo ya wizara na kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 3 lakini Rais Samia kwa miaka 3 hakuna jengo hata moja lililokamilika kiasi cha kuanza kukaliwa na watu. Kwenye serikali ya Samia hamna mradi hata mmoja ulioanzishwa unaoweza kusema kwamba angalau hapa Kuna watu walikaa na kutumia akili.
Rais Samia amefanya vizuri sana kwenye ujenzi wa madarasa kwa kutumia mkopo wa fedha za Uviko.
Au siyo? 😁😁Rais tuchague mwakani 2025,siku zote ukiweka watu tena wasio na akili ili wafanye kazi ya kuchafua kazi nzuri iliyofanywa na mtangulizi wako huwezi pata baraka yoyote,ndio wanachofanya akina Samia na wenzake kuharibu legacy ya magufuli,shida iko hapo badala ya kufanya kazi yako ionekane tunachoona ni kwambawatu hawafanyi kazi zaidi ya kufisadi fedha za UMMA kwa kasi iliyotukuka kwa mujibu wa CAG.
Nikajua utaweka miradi na mambo nmengine kumbe unaongea pumba tuu.
Nitajie fisadi hata mmja ambae aliwahi fungwa na Serikali ya Magufuli.
Samia amefunga bosi wa UDA,amemfunga DED mwisho wa Arusha wote hao walikuwa wezi na wanalelewa na Magufuli.
Amemshikisha Adabu Sabaya and the likes.
Mwisho kabisa Kwa miaka 3 ya Samia Mapato ya TRA yameongezeka kutoka 1.4T mwaka 2020/21 Hadi 2.2Tr mwaka 2023/2024.
Kiufupi Samia kaongeza bil 800 ndani ya miaka 3 wakati Mwendazake aliongeza Bilioni 500 tuu Kwa miaka 5.
Mpaka hapo ni sahihi kabisa kusema Samia ni mlima.na yulekurupukaji ni kichuguu.
View: https://www.instagram.com/p/C1h1XRQo_Dc/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Sasa wewe unadhani ulisema kapuyanga na takwimu zinakukataa itakusaisia nini?HAmna kitu, Samia haman raisi, kapuyanga sana.
Acheni unafiki na porojo zisizo na msingi, wa TAnzania unafiki mtaacha lini? yani we unataka kushawishi watu as if sio wa Tanzania na hawa experience mabadiliko wayaonayo, ni kama gari inapita unamwambia mtu ni baiskeli hali ya kuwa ana macho anaona ni gari we unakazana kumfanya aamini ni baiskeli.Acha UONGO kwani baba yako Magufuli aliyaacha hayo majengo yamekamilika ???
Rais Samia ame/ ana pambana na SGR , barabara, meli, ndege , daraja la Tanzanite kamalizia, daraja la busisi anakamilisha na mambo mengine mengi.
Sema mwendazake aliwaroga sana kwa kelele zake na show off kitu ambacho Samia hataki.
Ukifuatilia vizuri kwa jicho la usawa bila chuki basi Samia amefanya mengi mazuri.
Shida ninayoiona kwa Samia ni hali ngumu ya maisha kwa watu wa hali ya chini hasa vijijini.
Another level mdomoni kwako au another level Kwa figures na actual?Acheni unafiki na porojo zisizo na msingi, wa TAnzania unafiki mtaacha lini? yani we unataka kushawishi watu as if sio wa Tanzania na hawa experience mabadiliko wayaonayo, ni kama gari inapita unamwambia mtu ni baiskeli hali ya kuwa ana macho anaona ni gari we unakazana kumfanya aamini ni baiskeli.
JPM is on another level usimuweke kwenye show za kitoto kama hizi.
Sasa wewe unadhani ulisema kapuyanga na takwimu zinakukataa itakusaisia nini?
Haters hata mfanyaje you won't change the course 😁😁
View: https://www.instagram.com/p/C1kSOW5oS1K/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Wanajitoa ufahamu hao mbuzi,ukiacha kwamba mtu wao hakukamilisha mradi wowote zaidi ya projo na propaganda,Samia ndio anaikamilisha na amezindua maelfu ya miradi Kila sekta yanaendelea na husikii propaganda wala majigambo ya kipumbavuAcha UONGO kwani baba yako Magufuli aliyaacha hayo majengo yamekamilika ???
Rais Samia ame/ ana pambana na SGR , barabara, meli, ndege , daraja la Tanzanite kamalizia, daraja la busisi anakamilisha na mambo mengine mengi.
Sema mwendazake aliwaroga sana kwa kelele zake na show off kitu ambacho Samia hataki.
Ukifuatilia vizuri kwa jicho la usawa bila chuki basi Samia amefanya mengi mazuri.
Shida ninayoiona kwa Samia ni hali ngumu ya maisha kwa watu wa hali ya chini hasa vijijini.
Utumbo wa bataRais Samia ametimiza miaka 3 tangu achukue madaraka ya urais lakini ukilinganisha na miaka 3 ya hayati Magufuli akiwa madarakani ni kama mlima na kichuguu kwa matokeo.
Rais Samia amefanya semina nyingi kwa mawaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi na wakuu wa mikoa lakini bado utendaji wa serikali yake uko duni sana! Matokeo baada ya semina hizo hayaonekani kabisa.
Rushwa, uzembe, mfumuko wa bei, kupandisha gharama za miradi, kuchelewesha miradi imekuwa ndiyo sifa kuu ya serikali ya Rais Samia.
Hayati Magufuli alijenga majengo ya wizara na kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 3 lakini Rais Samia kwa miaka 3 hakuna jengo hata moja lililokamilika kiasi cha kuanza kukaliwa na watu. Kwenye serikali ya Samia hamna mradi hata mmoja ulioanzishwa unaoweza kusema kwamba angalau hapa Kuna watu walikaa na kutumia akili.
Rais Samia amefanya vizuri sana kwenye ujenzi wa madarasa kwa kutumia mkopo wa fedha za Uviko.