Miaka 3 na miezi 4 imeisha hakuna Bandari ya Bagamoyo wala LNG. Je, ni sawa kusema Hayati Magufuli alikuwa anakwamisha?

Kimla

JF-Expert Member
Jun 8, 2008
3,366
5,636
Wanajamvi wakati wa Jiwe Miradi ya Bandari Bagamoyo na ya gas LNG iliposimama wote humu tulimusimanga jiwe kuwa ni mkorofi ndo kasababisha hata Bandari ya Bagamoyo kutojengwa na wachina n waomani.

LNG nayo haikuanza. Nakumbuka wakati wa magufuri ilibidi watangazi kazi ya mshauri mkuu wa masuala ya Gas ili awasidie kunegotioate na kwa shauri kama serikali lakini mwishowe tuliishia kusema magufuri ndo alifanya miradi isitake off.

Baada ya Dada kupata Urais basi tukaambiwa Bnadari ya Bagamoyo ingefufuliwa haraka na wachina wangekuja haraka sana. Pia tukaambiwa hata LNG zingaza haraka sana ili tuendelee kwa kasi.

Lakini hadi sasa sioni kitu cha maana ndo maana najiuliza, hivi kosa lilikuwa la magufuri au wawekezaji waliaka kutupiga labda ndo maana na Dada yangu basi anasuasua na hata CCM haiogelei tena hiyo miradi kama walivyofanya wakati magufuri kufariki. Je kunanini hasa?
 
DP-Wodi + alilolikataa Mjoli wa Mungu, Mzalendo wa kweli alotoa Maisha yake Kwa ajili ya Watanzania HAYATI JPM.... Alichokikataa, ukikilazimisha, UTAANGUKIA PUA.
 
Rudi nyuma tafuta video Magufuli anafafanua huo mradi na vipengele vyake, au kuna nyingine ya Kakoko na waandishi wa habari akifafanua huo mkataba wa wachina ndio utajua kwanini aliupiga chini


Nakumbuka alisema ni mwendawazimu tu ndio anaweza kukubali limradi kama lile
 
Tatizo wasomi wengi na walo fanikiwa hawapendi siasa
Wajinga ndo wanakimbilia.
Tunapata viongozi wajinga, uchumi umayumba.
Bongo akili ndogo inaendesha akili kubwa.

Nay wa mitego
 
Rudi nyuma tafuta video Magufuli anafafanua huo mradi na vipengele vyake, au kuna nyingine ya Kakoko na waandishi wa habari akifafanua huo mkataba wa wachina ndio utajua kwanini aliupiga chini


Nakumbuka alisema ni mwendawazimu tu ndio anaweza kukubali limradi kama lile
Bandari ya Bagamoyo ulikuwa mradi wa kifisadi wa Kikwete kwa lengo la kujinufaisha binafsi ndiyo alikubali yale masharti ya kiuwendawazimu. Mtu mwenye akili timamu asingekubali yale masharti.
Miradi mingi iliyobuniwa na kujadiliwa wakati wa Kikwete ilikuwa yenye malengo ya kipigaji na kifisadi. Ndiyo maana JPM alitaka ijadiliwe upya ili kuondoa miufisadi ndani yake.
 
Tatizo wasomi wengi na walo fanikiwa hawapendi siasa
Wajinga ndo wanakimbilia.
Tunapata viongozi wajinga, uchumi umayumba.
Bongo akili ndogo inaendesha akili kubwa.

Nay wa mitego
Badilisha neno wasomi liwe "wenye akili nzuri "
 
Tatizo wasomi wengi na walo fanikiwa hawapendi siasa
Wajinga ndo wanakimbilia.
Tunapata viongozi wajinga, uchumi umayumba.
Bongo akili ndogo inaendesha akili kubwa.

Nay wa mitego
Badilisha neno wasomi liwe wenye akili nzuri "
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom